FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,375
Huyu hawezi kufutika kwenye memory yetu na madudu yake ya pale St.Augustine UN.
Nsia Swai????????????????..................wapi Masanilo...........hahaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
hahaaaaaaaaaaaaaaaaa..........Masanilo alikuwa anamtafuta sana huyu mdada....lol
Alivyotulia utafkiri sio yeye aliyefanya ule utumbo kule SAU.
Fide umemtoa wapi huyu?
Hehehe mpwa nina contacts zake yupo A town hapo hata Unguja anaweza kufika.
Si umeona mpaka Voda wanampa madili ya ujaji huyu ni prisendabo alitikisa vyombo mbalimbali vya habari.
hahahaha mtoto kawiva kweli.
Naona siku hizi kapungua tofauti na enzi hizo naona anamaintain.
Komredi simple wasiliana na wadau walio andaa mashindano ya miss Vodacom pale Arusha
Pouwa....ngoja niwatafute.
Ila komredi sijui ni nini tu...I have a thing for this girl...sijui ni yale mahips...sijui ni yale macho....mimi sijui bana.
Atapatikanika tu.............
Atapatikanika tu.............