Lily Flower
JF-Expert Member
- Oct 16, 2009
- 2,553
- 1,197
Huyu dada kama vile kuna mahali nilimuona lakini sikumbuki mmhh kaza buti twende.
Preta Preta Preta.........mi nimekaa kimya tu mwenzio!!!
Hahaaaaaaaaa.....kwa nini?......Asante though...
nakufagilia kwa ajili ya memory yako...mimi toka ze nanihii ife na memory ikafutika ndio maana sijamkumbuka...au angekuwa hajavaa mavazi ningemjua maana nilizoea kumuona hivyo
Huyu dada kama vile kuna mahali nilimuona lakini sikumbuki mmhh kaza buti twende.
Wakuu mnamkumbuka huyo dada mwenye blauzi pink?
just like that............?????????Alialikwa kwenye miss Voda kama jaji kutokana na umaarufu alio jizolea akala shavu.
just like that............?????????
Nitumie picha zake mkuu kwa PMNa waliomualika walikuwa na ajenda naye ya siri. lkn mtoto kaumbika ingawa sura amekosa hahahahahaha zile picha zake wakati wa Ze utamu jana tu hapa kwa ofisi watu walikuwa wanatumiana hahahahahahaha
Yes just like that!
Ni mmojawapo wa watu maarufu waliopatia umaarufu Ze-Unanii!
Fani ya urembo aliianza long time angalia pozi lake hapa http://4.bp.blogspot.com/_oUNxgUf0_...C7QX0Fk/s1600-h/图片1.jpg
Fani ya urembo aliianza long time angalia pozi lake hapahttp://4.bp.blogspot.com/_oUNxgUf0_Pg/SXCaDGa1O_I/AAAAAAAAAoY/3461C7QX0Fk/s1600-h/图片1.jpg