Ze observer
JF-Expert Member
- Aug 12, 2017
- 233
- 493
Ah wapi, wewe lazima utakua umekidhi vzr sana, hua napima hata comments zako, ni mtu ambae amejipa value yake. So hakuna matata najua.Ukiniona usijekimbia tu lakini
Ah wapi, wewe lazima utakua umekidhi vzr sana, hua napima hata comments zako, ni mtu ambae amejipa value yake. So hakuna matata najua.Ukiniona usijekimbia tu lakini
Ah wapi, wewe lazima utakua umekidhi vzr sana, hua napima hata comments zako, ni mtu ambae amejipa value yake. So hakuna matata najua.
Ooooh.. wabaya ndo tulivyo
Alafu ungekua mbaya usingesema hivi.... nina kaufahamu kidogo mzigua.. wewe ni toto haswa,
Mshukuru Mungu kwa hicho ulichonachoUkija ninapoishi utanionea huruma swahiba, similiki chochote zaidi ya hili lemba langu kichwani!
I wish namba 5 mkeo angeiona halafu nikasikilizia majibu yakeNina Miaka 45.
Nina mke mmoja na watoto watatu. Nina kighorofa floo mbili hapa hapa Mapinga.
Nina Biashara zifuatazo
1. Nina duka la vipodozi hili analiendesha mke wang
2. Nina saloon ya kiume hii ni kwa matumiz madogo ya home
3. Nina kigari kidogo cha kuzugia Passo
4. Nina mashamba 50hekari
5. Mwakani naongeza mke wa pili



Maua yaMimi Nina umri Wa miaka 40.... Nina chumba kimoja cha kwngu mwenyewe,,RADIO YA PHILLIPS... na Maua ya plastics,,NGOMA NA STULI ZAKE,,pamoja na kabati LA mbao ,,,na NDOO ZA PLASTICS kwa ajili ya kuwekea maji






















aiseee nimekumbuka mbaliiHahahahaha hahahahahahaahNina 30, namiliki nyumba mbili moja ipo kibaha kwa mathias, nyingne ipo morogoro nane nane, nina gari nne (ranger nyeusi, harrier, noah , na spacio), sina mke, sina mtoto, sasa hvi najenga ghorofa moja kimara, nina mashamba ekari 22, nina biashara yangu kubwa tu ambayo inasogeza siku, ni machine za kusaga za kukoboa, nina viwanja viwili. Katika elimu nina degree moja, na sasa hv ninatarajia kusoma masters kwaajili ya sifa tu, si unajua sisi wahaya. Ni hayo tu.
I wish namba 5 mkeo angeiona halafu nikasikilizia majibu yake![]()
Namiliki pumzi
Sina hela
Sina demu
Sina michongo
Nina 30, namiliki nyumba mbili moja ipo kibaha kwa mathias, nyingne ipo morogoro nane nane, nina gari nne (ranger nyeusi, harrier, noah , na spacio), sina mke, sina mtoto, sasa hvi najenga ghorofa moja kimara, nina mashamba ekari 22, nina biashara yangu kubwa tu ambayo inasogeza siku, ni machine za kusaga za kukoboa, nina viwanja viwili. Katika elimu nina degree moja, na sasa hv ninatarajia kusoma masters kwaajili ya sifa tu, si unajua sisi wahaya. Ni hayo tu.



Hii tunaita infiriority complex , yaan unajisikia myonge bila sababu.JF huwa patamu sana,kila mtu huwa ana pesa,viwanja, nyumba ,mke mzuri na elimu yake nzuri tu na kajiajiri ....Anyways mimi namiliki simu Tecno tu
Wanasema kupata ni majaliwa ya Mola; kwamba MUNGU anakupa uwezo wa kuona fursa kuliko wenzako hata kama mpo level moja ya elimu mwenzio anafanikiwa wewe hakuna kabisa. Hili nakubaliana nalo; unakuta mtu ananusa 50 lakini kikubwa alichonacho ni mke na watoto 3 wanaosoma kayumba ; vikolokolo vya ndani vilivyomo kwenye nyumba ya kupanga ya vyumba 2 na sebure pia kiwanja kule kongowe hakina hata msingi.
Tusichekane; ila ni kweli unapokwenda uzeeni hata dalili za kulala kwako kajumba ka walau 120m hivi ka kisasa inakuwa ndoto - hapo ni tatizo - utawaacha watoto kwenye shida; pamoja na elimu bora unayowapa ni lazima uwaachie pa kuanzia ulipoishia wewe; miaka ijayo itakuwa 10 times ya ugumu wa maisha wa sasa. Kumwacha mtoto wako aanzie moja hutakuwa umemtendea haki.
Maisha ni kupeana vijiti; yaani mtoto anaanzia ulipoishia wewe; huu mfumo ni mzuri sana ndiyo maana wenzetu waarabu na wahindi wanafaidika sana na mfumo huu; unakuta mtu ana 45 ni billionea; unajiuliza kamaliza shule lini? Lini kaanza kupanga; lini kaanza kujenga; lini kaoa; lini kaamza kuwekeza miradi hadi at that age awe billionea. Vijiti.