Unamiliki nini katika Umri huu?

Unamiliki nini katika Umri huu?

Nina Miaka 45.
Nina mke mmoja na watoto watatu. Nina kighorofa floo mbili hapa hapa Mapinga.
Nina Biashara zifuatazo
1. Nina duka la vipodozi hili analiendesha mke wang
2. Nina saloon ya kiume hii ni kwa matumiz madogo ya home
3. Nina kigari kidogo cha kuzugia Passo
4. Nina mashamba 50hekari
5. Mwakani naongeza mke wa pili
Nashauri usiongeze mke. Ongeza kampuni ingine
 
Sawa inawezekana ila sio kwetu Tznia, angekua hajasoma mpaka level ya degree tugesema sawa......kwasababu vyote alivyo teja sijaona kitega uchumi kikubwa kilicho kuza kipato chake haraka vyote havizalishi ni assets tu.
Mkuu, umesema!!!! Assets zinazakisha bhana, inategemea na aina ya assets ulizonazo na namba unavyozitumia
 
Nna miaka 35,
Namiliki mke mzuri na watoto watatu,
Michepuko watatu warembo,
Watoto wa nje wanne,
Namiliki nyumba mbili zote dar,
Nimepanga nyumba ya laki 3 kwa mwezi,
Biashara ndogo ndogo mbili, kubwa moja
Gari aina ya chaser,
Namiliki tabia moja ya kupenda sana papuchi tofautitofauti za bure na kununua, hii tabia mwenye kuhiitaji anipm nimpe tena bure, maana naona inanipotezea malengo tu.
 
Mkuu, umesema!!!! Assets zinazakisha bhana, inategemea na aina ya assets ulizonazo na namba unavyozitumia
Assets zake zote alizotaja hazizalishi kipato cha wa kika...vigari vinne vidogo ghorofa haijaisha, viwaja viwili, nk haviingizi kipato chochote.......angesema biashara yake eliomsaidia kupata hivyo ndo asseti kuliko hivyo.
 
Aisee mtoa mada umesaahau kusema una elimu gani?
ni muhimu.
 
Nina 30, namiliki nyumba mbili moja ipo kibaha kwa mathias, nyingne ipo morogoro nane nane, nina gari nne (ranger nyeusi, harrier, noah , na spacio), sina mke, sina mtoto, sasa hvi najenga ghorofa moja kimara, nina mashamba ekari 22, nina biashara yangu kubwa tu ambayo inasogeza siku, ni machine za kusaga za kukoboa, nina viwanja viwili. Katika elimu nina degree moja, na sasa hv ninatarajia kusoma masters kwaajili ya sifa tu, si unajua sisi wahaya. Ni hayo tu.
Mkuu unatafuta warembo kijanja ili uwabangue au sio, coz ukute uhalisia unamiliki kitanda na godoro tu.
 
Nina miaka 23.

Namiliki grupu la whatsapp la PachuPachu, Msingi Kiuno, na ZaUchiZoteHapa.

Nina sabwufa limeharibika sehemu ya flash na pini ya waya imekatikia kwenye tundu.

Nasikia nilikabidhiwa viwanja kijijini kwetu ila sijawahi hata kuviona na kwenda kijijini sitaki.

Nina wanawake wanne wa kudumu na watatu ni occasional.

Sina chumba wala nyumba nalala kwa rafiki yangu Dilongele.

Nina elimu kidogo ya form six.

Pia nina nyege.
umetisha mkuu
 
Duuh! umri unakimbia ngoja na mimi kesho nikanunue vitu vyoote ambavyo wenzetu mnamiliki
 
Najiita mpumbavu kwa kutomiliki vitu , na yule anaemiliki vitu vya kishetani upumbavu wake ni kiwango gani ? Nasema hivyo kwani kwake kuondoa roho ya mtu ni sawa na kuua inzi .
 
Mimi nina miaka yangu 45
Nina mke na watoto wanne (Binti wawili na waume wawili)
Nina kigari kimoja cha kutembelea (Mark ll)
Nina kimini bus (Coaster Delux Box)
Nina kijumba hakijakamilika ujenzi wake, (on final touch stage)
Nina vyumba viwili vya biashara ya Nguo special za wanawake na watoto (anasimamia wife)
Nina, (hivi vingine nashindwa kuvitaja kwasababu ni vile minor things), kama 32" Sumsung Flat screen HD, 24" LG Flat screen HD
HP Laptop, HP Printer, Sony Radio, Sony Digital Camera 3, Sony MP3 Sub woofer, Kuku wa kienyeji na Bata (kwa ajili ya kitoweo)
Hongera sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom