Unamiliki nini katika Umri huu?

Unamiliki nini katika Umri huu?

Hongera sana, usiache kumshukuru Mungu kila iitwapo leo kwa vyote hivyo alivyokujalia kumiliki
Swali la mtoa Mada lilikuwa linasema, Ulinganishe vitu unavyomiliki na Umri wako, hapa ndio panaleta taabu kidogo, Mimi ninamshukuru Mungu kwa kila jambo, But naona kama wewe hujasema ukweli ningeweza kuja hapo ulipo ili nijionee
 
Namiliki madeni kama yote aiseee...sema nina tughorofa unfinished...nina tu eneo kwenye prime areas with title deed...Nina tugari kangu Pickup...tushamba tumoja 50 acres...Daaah ningekuwa na tuuwezo ninge fyekelea mbali hawa binadamu wenzangu ninao wamiliki maana ni liabilities kwangu....sema ni turembo hatari...vina chura balaah
 
Swali la mtoa Mada lilikuwa linasema, Ulinganishe vitu unavyomiliki na Umri wako, hapa ndio panaleta taabu kidogo, Mimi ninamshukuru Mungu kwa kila jambo, But naona kama wewe hujasema ukweli ningeweza kuja hapo ulipo ili nijionee
Ukija ninapoishi utanionea huruma swahiba, similiki chochote zaidi ya hili lemba langu kichwani!
 
Nina miaka 23.

Namiliki grupu la whatsapp la PachuPachu, Msingi Kiuno, na ZaUchiZoteHapa.

Nina sabwufa limeharibika sehemu ya flash na pini ya waya imekatikia kwenye tundu.

Nasikia nilikabidhiwa viwanja kijijini kwetu ila sijawahi hata kuviona na kwenda kijijini sitaki.

Nina wanawake wanne wa kudumu na watatu ni occasional.

Sina chumba wala nyumba nalala kwa rafiki yangu Dilongele.

Nina elimu kidogo ya form six.

Pia nina nyege.
Nimecheka sana hapo mwisho
 
Nina 30, namiliki nyumba mbili moja ipo kibaha kwa mathias, nyingne ipo morogoro nane nane, nina gari nne (ranger nyeusi, harrier, noah , na spacio), sina mke, sina mtoto, sasa hvi najenga ghorofa moja kimara, nina mashamba ekari 22, nina biashara yangu kubwa tu ambayo inasogeza siku, ni machine za kusaga za kukoboa, nina viwanja viwili. Katika elimu nina degree moja, na sasa hv ninatarajia kusoma masters kwaajili ya sifa tu, si unajua sisi wahaya. Ni hayo tu.
Iweee! Wahulirwa........ubakesye!
 
Vijana by the age of 30, kuchuma mali nyingi inawezekana na kihalali kabisa, kuna makala namalizia kuandika najua itawaunua wengi muno, humu jf approximately 6 to 7 people watafanikiwa sana, nitatoa vionjo vya siri ya kupata pesa hata haitaji formula nyingi na ngumu ni akili ndogo sana... ingawa nitaileta kwa ID nyingine kabisa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom