Unamiliki nini katika Umri huu?

Unamiliki nini katika Umri huu?

Wanasema kupata ni majaliwa ya Mola; kwamba MUNGU anakupa uwezo wa kuona fursa kuliko wenzako hata kama mpo level moja ya elimu mwenzio anafanikiwa wewe hakuna kabisa. Hili nakubaliana nalo; unakuta mtu ananusa 50 lakini kikubwa alichonacho ni mke na watoto 3 wanaosoma kayumba ; vikolokolo vya ndani vilivyomo kwenye nyumba ya kupanga ya vyumba 2 na sebure pia kiwanja kule kongowe hakina hata msingi.

Tusichekane; ila ni kweli unapokwenda uzeeni hata dalili za kulala kwako kajumba ka walau 120m hivi ka kisasa inakuwa ndoto - hapo ni tatizo - utawaacha watoto kwenye shida; pamoja na elimu bora unayowapa ni lazima uwaachie pa kuanzia ulipoishia wewe; miaka ijayo itakuwa 10 times ya ugumu wa maisha wa sasa. Kumwacha mtoto wako aanzie moja hutakuwa umemtendea haki.

Maisha ni kupeana vijiti; yaani mtoto anaanzia ulipoishia wewe; huu mfumo ni mzuri sana ndiyo maana wenzetu waarabu na wahindi wanafaidika sana na mfumo huu; unakuta mtu ana 45 ni billionea; unajiuliza kamaliza shule lini? Lini kaanza kupanga; lini kaanza kujenga; lini kaoa; lini kaamza kuwekeza miradi hadi at that age awe billionea. Vijiti.
 
Miaka 25-40 unakaa kwenu huta hata godoro halaf unajichetua kuwa unataka mahusiano na mtu chefuuuuuuuuu kwa bbc haina dili, mambo yote abroad mambo ya usd shilling peleka gengeni huko
Bora anayekaa kwao kuliko anayeenda huko abroad kumwagwa mavi"kukonkiwa" ili upate hizo USD.
 
Mimi mwamume umri 35,Namiliki wake wawili watoto wanne,vitanda 5 na godoro zake Sina nyumba sina gari sina kiwanja,sina kazi,sina pesa Natunzwa tu na wake zangu.Kwa sasa hivi natafuta mke wa tatu awe na miaka 30 anayejiweza.

 
Waungwana wa humu, hapa nina wazo la kijinga tu hapa. Lakini ndo JF ilivyo hata ukiwa na pumba watu wataisoma tu. Mfano mimi nimewaza niandike kila atakaye pitia uzi huu utaje kwanza Umri wako na mali ulizonazo hadi kufikia umri wako. Au kama ulishazipoteza kwa ujinga wako au bahati mbaya.
Kwangu mimi naanza hivi japo sijafanikiwa sana katika maisha kwa jinsi nilivyojipangia kuwa.

Nina umri wa miaka 42.
Nina mke na watoto watatu, japo nishakuwaga na michepuko, ila nshaipiga chini.
Nina kaduka ka mtaani kadogo japo kananiingizia kakipato kwa kula mboga na ugali.
Nina kagari kadogo ka kirikuu nilikaagizaga japan.
Nina pikipiki ya kijapan used inanisadia visafari vyangu vya hapa na pale.
Nishawahi kununua pikipiki pia za kichina kama Fekon na Sanlg.

Nimefanikiwa kujenga nyumba ambayo thamani yake imefika 32Mln.
Nina vitu vya nyumani vingi tu kama Set ya kochi za mbao za kizamani za mninga, vitanda kama vinne vya mbao, tv Samsung 32"flat panel HD, Sony 5.1channel hone theatre,Jiko la umeme na gas, fridge Juba la kikorea, ving'amuzi vya dstv vitatu, Azam kimoja na madish yake, nina dish kubwa la nchi 6, vifaa vya kazi kama grinder, drill sander, nina simu ya sumsung, ipad ya apple, laptop toshiba, printer ya samsung laserjet, na vungine vingi vidogo dogo kama blender, juice dispencer nk.
Huu ni ujinga wangu naojisikia kuandika kwa leo. Hebu tuletee na wakwako pia ili tujilinganishe mafanikio yako hadi katika umri ulio nao.

Maana wengine umri mdogo wana mali za mamilioni wengine umri mkubwa wana mali za maelfu na wengine hawana kabisa hela zinaishia kula.
Kwa kifupi mafanikio yangu yametokana na ubahili wangu, sinywi pombe wala kula bata. Hata pamba za bei mbaya za dukani sivai kwa sababu sina pesa za kufanya hayo, la sivyo nitachekwa. Nakomaa sana kwenye kazi lakini napata vihela vidogo sana
Natamani niweze kujenga ghorofa lenye swimming pool na kuendesha magari kama rangerover, au wagon yoyote kali. Natamani nipate mchongo utakaonipa pesa nika enjoy utalii sehemu mbali mbali ninazotaka duniani. Maana maisha ni mafupi afu duniani kuna raha sana.
Mimi namiliki reli ya standard gauge na treni yake!
 
Nina miaka 23.

Namiliki grupu la whatsapp la PachuPachu, Msingi Kiuno, na ZaUchiZoteHapa.

Nina sabwufa limeharibika sehemu ya flash na pini ya waya imekatikia kwenye tundu.

Nasikia nilikabidhiwa viwanja kijijini kwetu ila sijawahi hata kuviona na kwenda kijijini sitaki.

Nina wanawake wanne wa kudumu na watatu ni occasional.

Sina chumba wala nyumba nalala kwa rafiki yangu Dilongele.

Nina elimu kidogo ya form six.

Pia nina nyege.
Mkuu unamiliki nyege!!!?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom