Dah, wee jamaa ni nomal!Mimi mwamume umri 35,Namiliki wake wawili watoto wanne,vitanda 5 na godoro zake Sina nyumba sina gari sina kiwanja,sina kazi,sina pesa Natunzwa tu na wake zangu.Kwa sasa hivi natafuta mke wa tatu awe na miaka 30 anayejiweza.
Msamehe, kavurugwa huyu.
Kwa nini?Dah, wee jamaa ni nomal!
Maana vitu vyote vinavyoijaza dunia ni mali ya bwana
Ni hayo tumali ya Mungu sio!
ndiyo hivyo mkuuMiminimkulimaakackekasana naona umekuja na ID nyingine
Hata Mb.upu huna!!?Similiki kitu dunia hii.
Hv ww jamaa ulipitelea wp!!???Safi....