Unamiliki nini katika Umri huu?

Unamiliki nini katika Umri huu?

Nina 30, namiliki nyumba mbili moja ipo kibaha kwa mathias, nyingne ipo morogoro nane nane, nina gari nne (ranger nyeusi, harrier, noah , na spacio), sina mke, sina mtoto, sasa hvi najenga ghorofa moja kimara, nina mashamba ekari 22, nina biashara yangu kubwa tu ambayo inasogeza siku, ni machine za kusaga za kukoboa, nina viwanja viwili. Katika elimu nina degree moja, na sasa hv ninatarajia kusoma masters kwaajili ya sifa tu, si unajua sisi wahaya. Ni hayo tu.
hahaha eti kwaajili ya sifa daah " jf bwana
 
Nina 30, namiliki nyumba mbili moja ipo kibaha kwa mathias, nyingne ipo morogoro nane nane, nina gari nne (ranger nyeusi, harrier, noah , na spacio), sina mke, sina mtoto, sasa hvi najenga ghorofa moja kimara, nina mashamba ekari 22, nina biashara yangu kubwa tu ambayo inasogeza siku, ni machine za kusaga za kukoboa, nina viwanja viwili. Katika elimu nina degree moja, na sasa hv ninatarajia kusoma masters kwaajili ya sifa tu, si unajua sisi wahaya. Ni hayo tu.
brother uwe shemeji yangu tafadhali " nina dada anayekufaa bado mbichi umri miaka22" menopause anaisikia tu nadhani hata hajui maana yake ndio nini " hata ukimwambia menopause ni jiji lipo china atakuelewa "... umri wake bado mdogo so hana time yakuwaza mambo yakujipa pressure kama hayo
 
Utaileta lini hiyo makala maana naisubria kwa hamu ,ongambile
Vijana by the age of 30, kuchuma mali nyingi inawezekana na kihalali kabisa, kuna makala namalizia kuandika najua itawaunua wengi muno, humu jf approximately 6 to 7 people watafanikiwa sana, nitatoa vionjo vya siri ya kupata pesa hata haitaji formula nyingi na ngumu ni akili ndogo sana... ingawa nitaileta kwa ID nyingine kabisa
 
Duh!! Hongera sana, una property nimeiona hapo inaitwa mke, huenda hata wenye amali wasiwe nayo na ma range yao
 
Jamiiforums account, Facebook Account na Instagram account.

#Bagwell
 
CD
Dunia na vyote viujazwa ulimwengu ni mali ya Bwana.Sina ninachomiliki kama changu binafsi ila najua nimepewa uwakili tu kwa vyote nilivyonavyo kama nyumba 1 mil 53 na viwanja viwili.age 33
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom