Unamiliki nini katika Umri huu?

Unamiliki nini katika Umri huu?

NGOMA na stuli zake za ngozi...ndy coffee table yangu,,kitanda ninacho cha KASUKU,,futi 4 kwa 6 ..na Maua ya plastic....nilinunuwa mwaka 1987 vinadumu mno,,hadi leo ninavyo
😀😀😀😀, hiyo cofee table nimeielewa sana na maua ya plastic duh,safi sana ,you're in the right track kabisa
 
Aisee una bahati sana miaka 30 wewe millionia duh.....ebu tuone uligraduate ukiwa na miaka 24 kwahiyo hivyo vitu vyote kama sio vya kurithi ulivitafuta dani ya miaka sita, tu tena kumbuka kuna hi mitatu ya magufuri ambayo biashara iko low sana
Nyumba 2
Gari 4
Ghorofa kimara 1.
Ekari za aridhi 22
Mashine y
Za kusaga 2
Viwanja vingine viwili
Duh wewe utakuja umpite hata Mo ukiwa 42.....duh hongera sana
Wewe anaweza kuwa Mangi huyo kaanza na duka la rejareja akiwa na 18yrs...si umemsoma yuko Kimara?
 
Wewe anaweza kuwa Mangi huyo kaanza na duka la rejareja akiwa na 18yrs...si umemsoma yuko Kimara?
Mkuu kusoma advance na chuo alisoma mda gani? Hata kama ni mangi arafu kasema ni ishomere.......
 
Mimi mwamume umri 35,Namiliki wake wawili watoto wanne,vitanda 5 na godoro zake Sina nyumba sina gari sina kiwanja,sina kazi,sina pesa Natunzwa tu na wake zangu.Kwa sasa hivi natafuta mke wa tatu awe na miaka 30 anayejiweza.
Uko vizuri Mkuu. Keep it up.
 
Ana degree....kujiongeza tu. Inawezekana by 30 kuwa na vyote hivyo.
Sawa inawezekana ila sio kwetu Tznia, angekua hajasoma mpaka level ya degree tugesema sawa......kwasababu vyote alivyo teja sijaona kitega uchumi kikubwa kilicho kuza kipato chake haraka vyote havizalishi ni assets tu.
 
Nina 30, namiliki nyumba mbili moja ipo kibaha kwa mathias, nyingne ipo morogoro nane nane, nina gari nne (ranger nyeusi, harrier, noah , na spacio), sina mke, sina mtoto, sasa hvi najenga ghorofa moja kimara, nina mashamba ekari 22, nina biashara yangu kubwa tu ambayo inasogeza siku, ni machine za kusaga za kukoboa, nina viwanja viwili. Katika elimu nina degree moja, na sasa hv ninatarajia kusoma masters kwaajili ya sifa tu, si unajua sisi wahaya. Ni hayo tu.
Hata km usingesema wewe ni Kabila gani, Mimi ningelijua tu kuwa wewe ni Nshomile .Maana mnavyopenda kujisifia duh!.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom