Unamfahamu DCI Manumba wewe?

Unamfahamu DCI Manumba wewe?

ni vyema akafa mapema ili asitumalizie kodi zetu

neno ulilotaja linatisha , mtu akiwa mgonjwa tusiongelee habari za yeye afe mapema, naamini hata mungu hapendi.afe kwa sababu siku yake imefika tu na si kwa kumuombea afe
 
Sisi sote njia hiyo tutapita. Lakini usimuombee mwenzio kifo hebu pamoja na ku-post thread yako hii jaribu kujiuliza unapomnyooshea mwenzio kidole ujue vidole vinne vilivyobaki vinakuonyesha wewe kwa hiyo na wewe jiandae kwa hilo!!!
Propaganda
 
akitoka manumbaaa ni bosi wake m.w.e.m.a na baada ya huyo ni hawa wapuuzi wa tissssssss, na baada yao ni hawa mafisadi wote. Mungu tusaidie kuondoa huu uchafu unaotuchafulia nchi yetu
 
ila mods hamkupaswa kuiachia hii thread ikapata airtime ya kutosha hivi. onyesheni umakini wenu katika vitu km hivi pia.......by the way inawezekana manumba akawa mwema kuliko mtoa uzi hii dunia bwana.
 
ila mods hamkupaswa kuiachia hii thread ikapata airtime ya kutosha hivi. onyesheni umakini wenu katika vitu km hivi pia.......by the way inawezekana manumba akawa mwema kuliko mtoa uzi hii dunia bwana.
Shuzi limepata mjmbj.
 
Probably this is the stupidiest comment, of all the time,

you are entitled to your opinion, just like i am

No body can just have fun with anyones suffering... at least if you are a believer

Muppet!!
 
wengine wanakinga ya kifo ,wao na jamaa zao ndo maana wanashangilia na kurukaruka mtu anapokuwa katka maradhi. mnalishutumu jeshi la polisi kwa kusababisha vifo vya wapendwa wenu, leo hii mnashangilia mkisubiri maafa yawafike mapolisi tofauti yenu na shetani nini?
 
Kama kaingia kumi na nane za watu acha ale jeuri yake....ila nasikiaga eti askari huwa ni "wazito sana"
Acha kabisa kama wana jeshi wana lambimbishwa mchanga atakuwa yeye au huja sikia yule wa mbeya majuzi tu wakikushindwa kwasumu wana ku-Gen Kombe...
 
hivi ndo huyu aliyeudanganya uma bila aibu ati dr.mwakyembe hajawekewa sumu?m.pumbavu sana huyu.....labda atajifunza .....hujafa hujaumbika
 
Acheni roho mbaya nyie watu!!wewe ni nani mpaka umuhukumu mtu??Mungu mwenye haki angeamua kutuhukumu kila mmoja kulingana na makosa yetu nani angepona?hakuna aliye mkamilifu.Pengine wengi wetu hapa tuna maovu kuliko hata ya manumba!!Mungu pekee ndo mwenye haki ya kuhukumu na sio sisi binadamu!kuweni na utu
 
Manumba ni Kachero msomi haswa! Amesoma course kibao abroad za ukachero!!!
 
Usiyotaka wewe utendewe usimtendee mwanzako. Ukicheza na tope usishangae likikurukia. Waombee watu mema nao pia watakuombea. Maiti hujizika yenyewe. Matendo ya mtu hufuatana naye kaburini.
wewe uliyeandika ndiyo utamfahamu DCI Manumba atakapopona, subiri tu. siyo vizuri kabisa kumuombea mwenzio kifo.
 
Manumba ni Kachero msomi haswa! Amesoma course kibao abroad za ukachero!!!

Alisoma akaelimika au alisoma akabaki kama alivyokuwa bila kusoma ila alichoongeza ni vyeti tu. Ukiangalia thread kama hizi unaogopa kwanini hatupendi kujiuliza hivi tunafanyaje kazi za umma. Something is very wrong somewhere!
Ingawa mimi namtakia apone mapema maana binadamu wote hakuna mwenye moyo wa jiwe...we all suffer the same!!
 
Jamani.nasikia ngoma imekata mchana huu.mkulu aliambiwa toka jana kuwa ngoma haitaamka.wanajipanga kesho mambo hadharani
 
Ayaa,imekuwaje!?maana Muhimbili walichemsha wakampeleka Aga Khan!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom