KirilOriginal
JF-Expert Member
- Feb 13, 2012
- 2,161
- 1,147
....next in the roll......RAMADHAN INGH'ONDU, Malaika wa vita fanya kama tulivyoongea!
DuuuhManumba ana kesi nyingi za kujibu,tumwombee apone ili ahukumiwe kabla ya kuitwa na Israel
Kasikia mkuuMungu sikia vilio vya watu hawa, hebu fanya manuva mtume israel afanye kazi yake fasta, ikiwezekana leo tubadili story.
Tayari mkuu japo imechukua muda mrefuMalaika Mtoa roho tafadhari mchukue DCI MANUMBA mkamchome huko moto wa milele kwa matendo yake ovu kwa wa TZ.
DCI Manumba afariki duniaHuyu jamaa ni mtenda kazi shupavu kabisa
kwa taarifa tulizo ni kwamba amejiingiza kwenye 18 za watu,,kwi kwi kwi,,,,,,,,,,,,,,,,,,
hapa tunasubiri dakika tu,,ndio tujue Mwenyenzi Mungu Muumba wa Mbingu na Dunia siyo ASUMANI!!!!!!!!!!!!!!!!
Huyu Sasa HV Ni mbuge w singida mashatki ilongero....next in the roll......RAMADHAN INGH'ONDU, Malaika wa vita fanya kama tulivyoongea!
Dogo kumbe wewe huko hum longtime?historia ipo na lazima iandikwe
AmeshavutaManumba ana kesi nyingi za kujibu,tumwombee apone ili ahukumiwe kabla ya kuitwa na Israel
Mipo mdogo wangu ndo kijiwe chetu hikiDogo kumbe wewe huko hum longtime?