Unamfahamu DCI Manumba wewe?

Unamfahamu DCI Manumba wewe?

Huyu jamaa ni mtenda kazi shupavu kabisa
kwa taarifa tulizo ni kwamba amejiingiza kwenye 18 za watu,,kwi kwi kwi,,,,,,,,,,,,,,,,,,
hapa tunasubiri dakika tu,,ndio tujue Mwenyenzi Mungu Muumba wa Mbingu na Dunia siyo ASUMANI!!!!!!!!!!!!!!!!

wadudu 500 si mchezo, vp wamesha mpeleka lndia?
 
Duh! Kwakweli taifa lilipo fikia ni pabaya sana, yani mpaka tuna ombeana kufa? Duh! Hiikali, hebu pata pc angekua ni babaako hata kama angekua muuaji kiasi gani usinge furahi na post hii. Tuache maskhara kwenye mambo ya kweli

Sio ivo ndugu yangu,usije ukashangazwa sana na title ya huu mtandao "Home of the Great thinkers"kuna mapunguani wanajua kuclick sikuhizi ndio wanaleta matatizo
 
Niwe mkweli tu siwezi kufurahia au kumuombea mtu afe,ni upuuzi mtupu kila nafsi itaonja mauti TUOMBEANE MEMA.
 
Nimeshtuka sana niliposkia eti ana malaria jumla ya vijududu 500 yaani ana malaria 500!!!!!!!!!!!!!!!!! Sijawahi kuskia kitu kama hii bhana
kwanini haiwezekani? Kwahiyo kama si malaria, ninyi mnafikiri anaumwa nini? Au mmeshashawishika na hoja za mleta thread ambaye anaonekana dhahiri kwamba ameandika kwa ushabiki? Kama sikosei Zitto aliwahi kukutwa na malaria 200 wakati fulani. Not sure, but haya mambo yapo, kama ingemkuta mtu wa kawaida huko kijijni, angeshajifia siku nyingi. Lakini kwa kuwa ni Manumba, angalau anapata huduma za uhakika.
Tumuombee apone, ili arudi kuendelea na majukumu yake ya kila siku.
 
Mungu ni mwema na atapona haraka sana ili aendelee na kazi. hamna cha uchawi ila ni malaria tu. kwani nani hajawahi ugua?

nyumbani Air condition,ofisini kuna Air condition na kwenye magari kuna viyoyozi mbu huyo alikaa wapi hadi akampa mpendwa wetu kiongozi shupavu na mchapakazi MALARIA?

HE MALARIA NDO APELEKWE NJE AKATIBIWE !
 
DCI MANUMBA pale Mwanza kwenye msiba wa RPC BARLOW, aliapa.."Jeshi la Polisi litalipa Kisasi kwa wauaji wote pasipo kuacha hata mmoja"....na MUNGU si Kinjekitile, leo yeye ndo yuko DHOFLI hali...anyway, MUNGU amnusuru aungane tena na MKEWE na WATOTO wake...

Domhome binadam tunajisahau me nisiyetumia chandarua huku tandale maleria kali ni 2 jamaa ana 500 heheheheeee
 
Last edited by a moderator:
Ingawa unapaswa kumwombea adui yako aishi siku nyingi ili aone unavyofanukiwa, lakini hawa viongozi wa PT nisingependa waone ninavyofanikiwa.

Mfano halisi ni wale WAFANYA BIASHARA WA IFAKARA waliopelekwa MabwePande Mbezi Louis Msitu wa Pande walipigwa risasi kupitia visogoni mwao kwa amri ya AZ akisema mkawabadilishe MAJINA YAO, yaani Sabinus Chigumbi, almaarufu, Jongo, na ndugu zake; Ephrahim Chigumbi, Mathias Lunkombe pamoja na Juma Ndugu aliyekuwa dereva wa taksi . Dhambi sana,
 
Mungu ni mwema na atapona haraka sana ili aendelee na kazi. hamna cha uchawi ila ni malaria tu. kwani nani hajawahi ugua?
navyosoma hizi comment naona kiasi gani wananchi walivyochoshwa na utendaji mbovu wa polisi siku hizi haki inanunuliwa,kama huna hela nchi hii huna chako, jeshi la polisi halina discipline kabisa kama umesikiliza CLOUDS radio leo asubuhi utagundua kama polisi bongo ni majambazi kabisa, na huyu manumba na mkewe si waliwachangisha vijana wa watu kwa kuwadanganya kuwaingiza usalama , eti na yeye akadai katapeliwa mmmhhhh
 
Kwa vitendo viovu vya polisi kama uuaji, utekaji, na ukandamizaji wa haki za raia, mimi sina hamu nao hata kidogo. Polisi wa Tanzania wapo kwa maslahi ya watawala tu, siyo raia.

Tuwaombee kutubu na kubadilika baada ya katiba mpya kupitishwa. Kamanda Manumba get well soon.
 
hivi lowassa si amuunganishie tu ujerumani kwa wakaguzi wake wa macho?? mbona wanamuacha hapa bongoland kwenye hossy's za sisi wakina ka.j.amba nani??!!
 
tumsamehe na tumuombee kila dua njema apone haraka kwani kuugua sio kufa na ukiumwa unakuwa karibu na MUNGU kwa kumtaja au kusoma maandiko yake, KIFO NI AHADI NA SOTE TUTAREJEA MAVUMBINI HUPASWI KUMUOMBEA KIFO KWANI HAKUNA AJUAYE ATAKUFA LINI,NA SAA NGAPI INAWEZEKANA HATA MIMI NIKAANZA BADALA YAKE.ALLAH KARIM
 
Hizi post zinatakiwa kuwafundisha viongozi wa hii nchi kuwa watanzania wamechoka"
 
Mungu ipe faraja kipindi hiki kigumu Familia ya Mzee Robert Manumba, Mpe afueni mja wako Mzee Manumba!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom