Unamfahamu DCI Manumba wewe?

Unamfahamu DCI Manumba wewe?

Manumba ana kesi nyingi za kujibu,tumwombee apone ili ahukumiwe kabla ya kuitwa na Israel
 
kwa vile tulitoka mavumbini basi tutarudi,tatzo huwa wanajisahau kwamba Mungu anatenda sawa katika hili kwa watu wote
 
Mungu ni mwema na atapona haraka sana ili aendelee na kazi. hamna cha uchawi ila ni malaria tu. kwani nani hajawahi ugua?

We umesikia wapi mtu anakuwa na vimelea 500 vya malaria
 
Kwa namna alivyomtendea Mwakyembe huyu jamaa naweza kuhuzunika hata akifa Fisi kuliko huyu. Kapotosha, kakanusha, na sasa anaona aibu, yaani aki... sijui nitakula nini siku hiyo.
 
Sisi sote njia hiyo tutapita. Lakini usimuombee mwenzio kifo hebu pamoja na ku-post thread yako hii jaribu kujiuliza unapomnyooshea mwenzio kidole ujue vidole vinne vilivyobaki vinakuonyesha wewe kwa hiyo na wewe jiandae kwa hilo!!!
 
kazini kuna A/C
nyumbani kuna
A/C
kwenye gari kuna A/C

malaria hayo kayapata wapi ?
 
Mungu ni mwema na atapona haraka sana ili aendelee na kazi. hamna cha uchawi ila ni malaria tu. kwani nani hajawahi ugua?

Tena malaria ya wadudu 500, wengi sana lazima ...................................
 
Siku yangu ipo ya kutembelewa na israel ila nitajisikiwa roho safi kama nikipata sad news kama siyo leo kesho.
 
pona haraka baba.MUNGU atatenda muujiza wanaokuombea ufe wao ndo watatangulia
 
eee mwenyezi mungu kwa kiwango hicho hicho wanacho mwombea mwanadamu wako mabaya IWARUDIE NA IKIWEZEKANA WAANZE KUONJA ADHABU YAO HAPA HAPA DUNIANI KWANI HAWA NI VIUMBE WA AJABU SANA KUFIKIA KIWANGO HICHO CHA KUMUOMBEA MWANADAMU ULIYE MUUMBA MABAYA Hawa ni sawa na wachawi.MUNGU MSAIDIE KAMANDA WETU WA UKWELI APONE NA WAPATE AIBU WABAYA WETU.
 
huyu jamaa ni mtenda kazi shupavu kabisa kwa taarifa tulizo ni kwamba amejiingiza kwenye 18 za watu,,kwi kwi kwi,,,,,,,,,,,,,,,,,, hapa tunasubiri dakika tu,,ndio tujue mwenyenzi mungu muumba wa mbingu na dunia siyo asumani!!!!!!!!!!!!!!!!
naona kama unajichanganya vile?unasema ni mchapa kazi na ameingia kwenye 18 za watu,tena unasema mungu sio athumani,kwa maana unamtakia mabaya.......halafu unanishangaza kumtakia mtu mabaya.
 
Niwe mkweli tu nitafurahia sana aki.... maana alikuwa anafurahia na kupotosha watu katika sakata la kupigwa sumu Mwakyembe

ionee huruma hata familia yake aki...tusilipe baya kwa baya ,muache Mungu ahukumu
 
stupidiest post/thread of the past 24 months

unachekelea roho za watu kwa mtaji wa kipumbavu??

remember law ya KARMA!!!!

Probably this is the stupidiest comment, of all the time,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom