Mkoroshokigoli
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 14,593
- 5,582
stupidiest post/thread of the past 24 months
unachekelea roho za watu kwa mtaji wa kipumbavu??
remember law ya KARMA!!!!
pole msemaji wa familia
stupidiest post/thread of the past 24 months
unachekelea roho za watu kwa mtaji wa kipumbavu??
remember law ya KARMA!!!!
Mfikilwa akipona sawa ila why hawajampeleka mhimbili?
Mungu ni mwema na atapona haraka sana ili aendelee na kazi. hamna cha uchawi ila ni malaria tu. kwani nani hajawahi ugua?
DCI MANUMBA pale Mwanza kwenye msiba wa RPC BARLOW, aliapa.."Jeshi la Polisi litalipa Kisasi kwa wauaji wote pasipo kuacha hata mmoja"....na MUNGU si Kinjekitile, leo yeye ndo yuko DHOFLI hali...anyway, MUNGU amnusuru aungane tena na MKEWE na WATOTO wake...ila ni vizuri kumuua mwenzio?maana polisi wanaua sana jamani
kweli bwana sijui wana nini hawa vigogo.hivi hawa wakubwa maleria ndo inawaonea sana au?maana sie walala hoi tukigonga ALU TUNAENDELEA NA MAISHA ILA WAO MMMMH
Jasiri haachi asili!Aga Khan = MNH?? kweli hawa viongozi wetu wamepotoka! au wanaogopa kivuli chao wenyewe? usimuombea mwanzako afe! akipona sasa hivi atakuwa mtu mwingine safi! atajua kwamba ipo siku!
Duh! Kwakweli taifa lilipo fikia ni pabaya sana, yani mpaka tuna ombeana kufa? Duh! Hiikali, hebu pata pc angekua ni babaako hata kama angekua muuaji kiasi gani usinge furahi na post hii. Tuache maskhara kwenye mambo ya kweli
Mungu ni mwema na atapona haraka sana ili aendelee na kazi. hamna cha uchawi ila ni malaria tu. kwani nani hajawahi ugua?
Jamaa wametusumbua sana...wametu umiza sana vichwa...kama atakwenda Mungu AMLAZE PEMA