Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,376
Huyo mwenye sura kama chapati ya nyongeza ndo alikuja kukuoa? Je bado mpo pamoja?
huyu mjinga aliniacha nipo msibani kwa bibi 2013 na kuniambia mambo kibao, nililia sana ukijumlisha na msiba basi nilikuwa sishikiki. after an year nikawapoa. siku hiyo naona call yake namba mpya ila nilishaishikaga kichwani hata nikiamshwa siwezi isahau. nikapokea ananiuliza uko hostel nikamshangaa nikaamua nimuache aje nimuangalie usoni na jisura ka lichapati la kuongeza.
akaja na tropical azam juice na maji na chocolate za masiku ananiuliza inshort nilisha move on nilikuwa na this guy Medicine student ye yupo mwanza mi nipo udsm, alikuwa anajali sana this dokuta but hakuwahi gusa moyo ka huyu mwenye sura ka chapati ya kuongeza kwa mama ntilie, basi hata sijui ilikuwaje tukaanza kudate tena mapenzi motomoto hadi ndoa 2017 hahhahah its sad jinsi linivyomuachaga mkaka wa medicine hadi leo namuoneaga huruma. but sikuweza muacha my first man form him na sikumpenda. alilia hadi nilijisikia vibaya kama nimeuwa. kama unasoma hii nisamehe NISAMEHE BIG TIME

