pwilo
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 11,592
- 14,681
Tatizo sio kuachana mkuu ila ni njia inayotumika kuachana inakuwa sio mzuri.Vijana wametiririka aseee. Sometimes kuacha ni jambo jema. Milango inafunguka kwa wote. He/she or both mnapata watu bora kabisa kwenye maisha
