BOMBAY
JF-Expert Member
- Apr 16, 2014
- 4,744
- 3,544
Haswa hiyo iliyokupa jina la single maza dah...pole sanaBado break ups zangu zinanitesa mpaka leo.
Sio ya kwanza wala ya mwisho
Haswa hiyo iliyokupa jina la single maza dah...pole sanaBado break ups zangu zinanitesa mpaka leo.
Sio ya kwanza wala ya mwisho








Hauishi sidhani kama utaisha
Siwaamini kabisa wanawake
Eeh Mungu nisamehe
Alifanya kitu kibaya sana
Ahahahhahaa
Sasa bulubendi kweli utendwe na mmoja halafu ututwishe mzigo wote
Time heals, sie ni kama maji huwezi kutususa milele.
Sitaki kukumbuka
Nmeshasamehe !
But i hate them
Sio mama bulubendi?Ahahahhahaa
Basi kuanzia leo anza kujiita mama swalehe![]()
Hahaha ila atoto bhana 😅😅Sio mama bulubendi?
😂😂😂 acha tu best🤣
😂😂😂 woiii we tafuta tuuuNakutafutia target tu, utakaa sawa!!
Yes inatokeaga mara chache mnooInatokea mara chache ukiwa na mtu honest.
Hahaha ila atoto bhana![]()


Nitagonga mwamba kumbeee...woiii we tafuta tuuu
So harusi liniNimefanya nini jamani?
na uo mchepuko wake wameachana au umeamua kuishi kwa "kizuri kula na mwenzio?"Baada ya kunitumia sms yake ya mpango wa nje kimakosa, nilidhamiria kumuacha na kumfuta kabisa katika kumbukumbu zangu, haikuwa kama nilivyofikiri kwa kuwa mrembo alitishia kujitoa uhai,(alifanya jaribio la kujitoa uhai zaidi ya mara moja) wazazi wangu wakanisihi kwamba nimsamehe nisije kuingia kwenye matatizo..mzee mzima nikasamehe..kwa kuwa alinipenda kwa dhati mpaka leo tupo pamoja!
Inategemea😂Nitagonga mwamba kumbeee...
Aaaah ouais, toi aussi!!mara ya kwanza inauma ila baada ya hapo huumii unakua nunda😀