Unakumbuka breakup yako ya kwanza?

Unakumbuka breakup yako ya kwanza?

wanawake wakatili sana hawa viumbe acha tucheke nao tu humu ila sio watu wazuri
nikiwa o level nilimpenda dada mmoja alikua form 4 mimi form 2,i loved her with all my heart,she was the first, vijipocket money nilivokuwa nikipewa nilikuwa namsaidia,nikamwambia nampenda akakubali kumbe ananichora tu,aisee nilipa kila nilichoweza,akamaliza form 4 mimi ananijibu shit na smart phone nimempa mimi,mara hajibu texts na hapokei simu,nimeenda nae hivo hivo mpaka nipo advance namtumia pocket money anitunzie afu anakuja badae anasema aliitumia yote, akiwa na shida vi elfu 50 nilituma sana,mwisho wa siku akaenda kuolewa na akaniblock,toka siku hiyo mpaka leo hilo tukio limenibadilisha jinsi navowaona wanawake, nawachukia kuna muda mara nawadharau
 
wanawake wakatili sana hawa viumbe acha tucheke nao tu humu ila sio watu wazuri
nikiwa o level nilimpenda dada mmoja alikua form 4 mimi form 2,i loved her with all my heart,she was the first, vijipocket money nilivokuwa nikipewa nilikuwa namsaidia,nikamwambia nampenda akakubali kumbe ananichora tu,aisee nilipa kila nilichoweza,akamaliza form 4 mimi ananijibu shit na smart phone nimempa mimi,mara hajibu texts na hapokei simu,nimeenda nae hivo hivo mpaka nipo advance namtumia pocket money anitunzie afu anakuja badae anasema aliitumia yote, akiwa na shida vi elfu 50 nilituma sana,mwisho wa siku akaenda kuolewa na akaniblock,toka siku hiyo mpaka leo hilo tukio limenibadilisha jinsi navowaona wanawake, nawachukia kuna muda mara nawadharau
Duuh mzee pamoja na kuona dalili zote zile lakini bado ulikomaa Kweli ulimpendaaa...
 
Duuh mzee pamoja na kuona dalili zote zile lakini bado ulikomaa Kweli ulimpendaaa...
mkuu,,nilikomaa kwa sababu ya upendo,nilishauriwa sana nimuache lakini i still had a feeling kwamba huenda mapenzi ndivyo yalivo na kwamba siku moja ataeleweka, yule ndiye mwanamke pekee nilipanga kumuoa,
 
wanawake wakatili sana hawa viumbe acha tucheke nao tu humu ila sio watu wazuri
nikiwa o level nilimpenda dada mmoja alikua form 4 mimi form 2,i loved her with all my heart,she was the first, vijipocket money nilivokuwa nikipewa nilikuwa namsaidia,nikamwambia nampenda akakubali kumbe ananichora tu,aisee nilipa kila nilichoweza,akamaliza form 4 mimi ananijibu shit na smart phone nimempa mimi,mara hajibu texts na hapokei simu,nimeenda nae hivo hivo mpaka nipo advance namtumia pocket money anitunzie afu anakuja badae anasema aliitumia yote, akiwa na shida vi elfu 50 nilituma sana,mwisho wa siku akaenda kuolewa na akaniblock,toka siku hiyo mpaka leo hilo tukio limenibadilisha jinsi navowaona wanawake, nawachukia kuna muda mara nawadharau
daa form six unamtumi mtu vi hamsini hamsini, kipindi icho nikiwa na buku mbili moyo wangu unaaman kubwa san
 
Dahh tukadate toka la sita mpaka 4m 4 mm nikiwa shule x na yeye shule y majib kutoka nikapagwa advanc yy akazingua akafanyaga mpango wa kwenda chuo dahh akabadilika sanaaa mm huku hata sielewi nakomaa na pcb yang nakumbuka ilikuwa siku ya pasaka mchana muda wa msosi nikatumiwa msg kuwa nisiwe na mazoea na wasichana wa watu mhh nikaona nipige maana ilikuwa namba ngen akapokea jamaa akanipiga biti kali wakat huo nasikia mwanadada anacheka sana machoz yananilengalenga mwanadada akachukua simu akasema hawez date na watu wanaovaa uniform dahh mbaya zaid wakiwa bado hawaja kata simu nikasikia yule jamaa anamwambia mwanadada anahamu anataka waendelee achen nyie watu acheni kabisa hii ndo ilikuwa siku yangu ya kwanza kunywa konyagi na kuingia club nakula malaya kiukwel iliniharib akili


Aseeh j popote ulipo ww ni mbwa uliniharibia sana mamaeee dahh omba tusikutane miaka 10 imeshapita ila nikikumbuka naumia mamaee
mkuu pole sana,tuliopitia hio kitu ndio tunaelewa machungu,jamiiforums nzima 70% ya wanaume wanaweza kuwa wameshaumizwa ila 10% ndio tunajua machungu ya kupigiwa simu na msenge anasema yeye ndio anamiliki demu wako
last year kuna manzi kampa jamaa yake simu anipigie afu anipige biti,mi siku mzingua msela nikamblock tu maisha yakaendelea,ila ile dharau iliniuma sana,juzi demu huyo kanitafuta akaomba msamaha nikamwambia hajanifanyia kosa lolote
 
daa form six unamtumi mtu vi hamsini hamsini, kipindi icho nikiwa na buku mbili moyo wangu unaaman kubwa san
mkuu, mimi kusema kweli mzee alijitahidi sana nisipate tabu wakati nasoma,nilikuwa napewa 1500 kila siku nilipokuwa primaly ,na olevel mpaka high school nilipewa pesa,sijatoka ushuani but sikuijua shida,nimekuja kupambana na shida chuoni,though nimepitia magumu pia, kwenye maisha pesa sio kila kitu
 
mkuu, mimi kusema kweli mzee alijitahidi sana nisipate tabu wakati nasoma,nilikuwa napewa 1500 kila siku nilipokuwa primaly ,na olevel mpaka high school nilipewa pesa,sijatoka ushuani but sikuijua shida,nimekuja kupambana na shida chuoni,though nimepitia magumu pia, kwenye maisha pesa sio kila kitu
hongera mkuu na pole kwa mikasa ya mapenzi, ulikua ka- ATM kanakotembea kwa uyo bidada
 
hongera mkuu na pole kwa mikasa ya mapenzi, ulikua ka- ATM kanakotembea kwa uyo bidada
asante mkuu, mpaka leo ndio maana hawa viumbe nawaona wakatili,yani alinitumia ,bora angesema tu hanielewi mapema
 
Yule ms*nge aliniacha jumapili ambayo jumatatu yake tulikuwa na test...sababu yake mammmae zake nikachafua CV ya kuzungusha ile paper (nilipata zero)

Nilikuwa siwezi kula
Siwezi kulia japo natamani kulia lakini machozi hayaji
Nilikuwa mchekaji mzuri lakini siku hizi sicheki kabisaaaa

Popote ulipo ama kama unasoma hapa ujue tu nakuchukia kuliko kawaida!!!na kwa taarifa yako ninae baby mpya nampenda sanaaaaaa

#povu

Halafu bado nakupenda

Kudadekiiiii!!!!!!!
 
nilishawahi kuvunga mwaminifu Sana ila bado nkapigiwa dem na ushahidi nkaupata ikanipain Sana tokea hapo naishi safi Sana zaidi ya hata nlichokuwa no stress ubongo ukishakomaa
 
Aise niliwahi kumpenda binti mmoja hivi hakuwa mkali sana ila nilimpenda kiasi kwamba wanawake wengine nilikuwa nawaona kama wanaume wenzangu kwa jinsi nilivyompenda.
Licha ya kudumu nae miaka kadhaa lakini sikuwahi kupata hata chembe ya kumsaliti.

Siku moja usiku mida ya mbili usiku akanitumia sms, akaniambia kuwa siwezi kuendelea kuwa nae sabb mimi si hadhi yake na kwanza sijui kuvaa, usiku sikula wala kunywa nilikuwa nashinda na kulala nja na nikipewa chapati mbili simalizi... Nilidhoofika afya mpaka ndugu zangu wakajua kuwa mm mgonjwa ila sitaki kusema kuwa naumwa, kutoka kilo 70 mpk 53 ndani ya mwezi mmoja.
Ilichukua takribani miezi 4 kumsahau.

Nikikutana nae na kuona alivyofubaa naona kuwa maisha yanaenda kasi sana.
Pole sana mkuu
 
na uo mchepuko wake wameachana au umeamua kuishi kwa "kizuri kula na mwenzio?"
Alikuja kukiri siku za usoni kwamba jamaa alimlaghai kwa maneno matamu ndio maana naye aliamua kuandika ujumbe ule kwake ila it's unfortunates hakufanikiwa kufanya lolote..sio siri mkuu huyu dada alinipenda sana pengine kuliko kitu chochot chini ya jua...wakati mwingine nafikiri labda kwa sababu nilikuwa wa kwanza kwake!
 
Nilikuwa mkoa nilitia mtu mabanzi mpaka familia mzima kutoka dar, ukoo na polisi walikuja huko mkoani kumuokoa yule msengeee

Nilitulia baada ya bi mkubwa kunituliza maana nilikuwa namsaka kila chochoro na bakora
hukukubali kuachwa kizembeee
 
Ogopa Sana hizi Mambo nikikumbukaga jinsi mshenzi alivyonitesaga kipindi kile najionaga fala sana.mashushushu walinambia twende ukafumanie nikafika eneo husika baada ya kutoka akanikuta nje ndipo namuuliza ananambia tulikua tunapiga story tu Kama vp tuacahane.usiku haukulalika chakula hakipandi nikimuona mtaani maumivu Kama yote,sioni mzuri zaidi yake Japo naumia.baada ya hapo Ni kugonga na kusepa hata nilie nae saiv akisema naenda Nampa na nauli ya kwenda shenzi Sana ndegelesi Hawa hasa Kama ww mgeni mwenzako mzoefu
 
Back
Top Bottom