Mildotty
JF-Expert Member
- Jun 29, 2016
- 278
- 198
Ila ukipenda unapopendwa,.. daah ni raha sanaUlimpenda baharia tatizoila ubaya ni kwamba nawewe kuna mtu angekupenda kwa kiwango hiko hiko ungekuwa unamfanyia visa vya kishamba kama vya huyo baharia.
Mapenzi bana sijui yakoje, unaempenda hadi kufwa yeye wala hana habari nawewe same applies unapopendwa hadi haielezeki pia unazingua![]()

