Unakumbuka breakup yako ya kwanza?

Unakumbuka breakup yako ya kwanza?

,nacheka kama mazuri Ila pole sana Joana .
Yule ms*nge aliniacha jumapili ambayo jumatatu yake tulikuwa na test...sababu yake mammmae zake nikachafua CV ya kuzungusha ile paper (nilipata zero)

Nilikuwa siwezi kula
Siwezi kulia japo natamani kulia lakini machozi hayaji
Nilikuwa mchekaji mzuri lakini siku hizi sicheki kabisaaaa

Popote ulipo ama kama unasoma hapa ujue tu nakuchukia kuliko kawaida!!!na kwa taarifa yako ninae baby mpya nampenda sanaaaaaa

#povu

Halafu bado nakupenda
 
Nilipogundua anataka kuniacha nikamuwahi akajifanya bado ananipenda kumbe ananilia timing anifanyie suprise ya kuniacha, siku anataka kukamilisha mpango wake nilimtandika makofi hatosahau maishani

Yaani nikipiga upande huu narudia upande wa pili ndo nahesabu kofi moja.
Comment yako imenichekesha 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Dah! Aisee pole yake huyo binti
 
Nilipogundua anataka kuniacha nikamuwahi akajifanya bado ananipenda kumbe ananilia timing anifanyie suprise ya kuniacha, siku anataka kukamilisha mpango wake nilimtandika makofi hatosahau maishani
Yaani nikipiga upande huu narudia upande wa pili ndo nahesabu kofi moja.
😂😂sasa mkuu ulimpiga kwa kosa gani??
Kwani kukuacha ni kosa??😂😂
 
Inauma hio
Unalia kama mbwa ila mwisho wa siku unakubaliana na fact kwamba hakutaki/hakufai kila mtu anastahili kilicho bora,huwezi kuuchosha moyo wako kwa mtu ambae yeye hauchoshi kwa kwake kwa ajili yako.

Kwanza namshukuru sana maana alinitolea kiwingu, angekuwepo nisinge mpata wangu wa ubani
Ila kwa wakati ule niliona kama nakosa figo yangu moja
Mungu akipanga muwe mtakua tu na kama hajapanga tusifosi mambo tumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kila jambo
 
Labda siku nikipata kiboko yangu nami nitakuja kuhadithia humu lkn naona ugumu kwani kadri navyozidi kuyajua mapenzi ndivyo navyozidi kujilinda nayo.. ni Kama mchezo wa draft.
 
Inauma hio
Unalia kama mbwa ila mwisho wa siku unakubaliana na fact kwamba hakutaki/hakufai kila mtu anastahili kilicho bora,huwezi kuuchosha moyo wako kwa mtu ambae yeye hauchoshi kwa kwake kwa ajili yako.
Kwanza namshukuru sana maana alinitolea kiwingu, angekuwepo nisinge mpata wangu wa ubani
Ila kwa wakati ule niliona kama nakosa figo yangu moja
Mungu akipanga muwe mtakua tu na kama hajapanga tusifosi mambo tumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kila jambo
nasikia huwez kupenda mara mbili, uyo jamaa kaondoka na kale kaupande ka unique
 
nasikia huwez kupenda mara mbili, uyo jamaa kaondoka na kale kaupande ka unique
Hakuna kitu kama hicho
Siwezi kuacha kumpenda mwanaume anaenipenda kwa sababu ya mjinga mmoja ambaye hakujua thamani yangu.
Nilichojifunza ni ku-let go
Kwamba hata kama nmempa upendo mtu akitaka kwenda namuacha aende maumivu ntapambana nayo baada ya muda yataisha maisha yataendelea.
Watu ambao hawapendi tena ni ule woga wa kutendwa, kutendwa kupo tu upende usipende muda wa kuachwa ukifika utaachwa tu kama kawaida.
 
Back
Top Bottom