Unakumbuka breakup yako ya kwanza?

Unakumbuka breakup yako ya kwanza?

Nilimpenda kweli, ni story ndefu, alikuwa mmanga hawa wa ki-Oman, ndugu zake hawakunitaka na waliloamini ni kwamba ningemuharibia masomo yake na hatimae maisha yake.

Katika harakati za hapa na pale ikatokea safari ya kimasomo kwenda nchi flani hivi, nlifanya yote yaliyowezekana akawemo safarini maana mimi nlikuwa na nafasi tayar, alinishkuru sana for that lakini alikuwa kuungana na kukubaliana na matakwa ya ndugu zake kwamba aachane nami. Kipindi cha rehearsal kilikuwa ndio kipindi cha kutuweka karibu but she always avoided me. I was never happy at school na kila safari ilivyokaribia ndivyo hakunielewa ba kujaribu kuji-distance from me.

Siku ya safari ikafika, ndege yetu saa nne asubuhi mpaka saa mbili hajafika. I started worrying na nkataka kugoma pia, kama haendi nami sitokwenda, fikra zangu ziliniambia ndugu zake wamemzuia. Around saa mbili na nusu alitokea, nlikumbatiana na kaka yake aliemsindikiza na akaninong'oneza kuwa he believes I will protect his sister. I gave him my words that she was in a safe hands.

Mmanga yule hakutaka kuongea nami mpaka tulipofika Amsterdam alipopata matatizo na suitcase yake. She was crying and calling me "my love". I had some courage and strength to do whatever I had to ili vitu vyake vyote tupate kusafiri navyo.

In Norway, she gifted me her ............

We enjoyed our time, and she promised me that she will be mine no matter what.

As we reached Tanzania, out of the flight, she pulled me, hugged me, kissed me and said it was over between us. And it was over.
Mzee baba si uliloweka ndoano kwenye kitumbua chake, sasa shida hapo iko wapi>>>
 
FB_IMG_1568642292728~2.jpeg
 
Huyu kijana alikuwa ananipiga matukio nikapanga kumuacha bwana, ila nilivyokuwa nampenda nikaamua kuvumilia, kumamake mchizi si akaniacha naamka asubuhi na msg ya naomba tuachane *****

Nililia kama nimepewa habari ya msiba ila all is well ukwende tu
 
Sijawahi teswa na breakups sababu sijawahi achwa

Otto
Kina j watatu
Sunday
G
Elvin
Brayo
Yahya

Mnisamehe tu kwakweli

Ila mpenzi wa Sasa naomba usije niumiza maana nakupenda Hadi najisahau
 
Huyu kijana alikuwa ananipiga matukio nikapanga kumuacha bwana, ila nilivyokuwa nampenda nikaamua kuvumilia, kumamake mchizi si akaniacha naamka asubuhi na msg ya naomba tu achane *****

Nililia kama nimepewa habari ya msiba ila all is well ukwende tu
Duh! Best imekuwaje tena na hiyo mitusi???😄😄😄😄

Ushapiga Heineken zako nini best??
 
Sijawahi teswa na breakups sababu sijawahi achwa

Otto
Kina j watatu
Sunday
G
Elvin
Brayo
Yahya

Mnisamehe tu kwakweli

Ila mpenzi wa Sasa naomba usije niumiza maana nakupenda Hadi najisahau
Ndio majina yao?
 
Back
Top Bottom