Unakumbuka breakup yako ya kwanza?

Unakumbuka breakup yako ya kwanza?

Nilikuwa mkoa nilitia mtu mabanzi mpaka familia mzima kutoka dar, ukoo na polisi walikuja huko mkoani kumuokoa yule msengeee

Nilitulia baada ya bi mkubwa kunituliza maana nilikuwa namsaka kila chochoro na bakora
 
Picha imeanza kwanza, nimekutana nae tuongee kama kawaida nikaona hayopo sawa, kama ana hofu hivi, nikasema usinitanie, nikampokonya simu yake nikaondoka nayo. Daa kumbe alishaagana na mchepuko wake waondoke af wakati huo aliniaga et ataenda kwa dada. Yani niliumia lakni kwa kua nampenda asubuhi nilimuomba aje tuongee . akakataa, kitendo cha kukataa nikasema niiagalie na conversion nyingine duu, nakuta kuna kidume kingine , tena kishamba flani ivi , na kuna kipindi aliwahi kukasifia kua kanapendeza, et ninunue nguo kama ile. Hapo ndo nilihisi kufa kufa machozi yananitoka kama mtoto mdogo.

Nikamfata nikampa simu yake. Siku nzima kidume nimejifungia nalia kama mtoto.

Yalienda yakaenda, tukajarudi pamoja lkn nahisi ilikua too late, haikuweza ku- work ,

Tukaachana tena akajakuzaa na ule ule mchepuko wake.

Kiroo safi sina kinyongo nae ila yale maumivu hayatakaa yatokee tena

Kokote ulipo K, nisalimie baba O
 
Ogopa Sana hizi Mambo nikikumbukaga jinsi mshenzi alivyonitesaga kipindi kile najionaga fala sana.mashushushu walinambia twende ukafumanie nikafika eneo husika baada ya kutoka akanikuta nje ndipo namuuliza ananambia tulikua tunapiga story tu Kama vp tuacahane.usiku haukulalika chakula hakipandi nikimuona mtaani maumivu Kama yote,sioni mzuri zaidi yake Japo naumia.baada ya hapo Ni kugonga na kusepa hata nilie nae saiv akisema naenda Nampa na nauli ya kwenda shenzi Sana ndegelesi Hawa hasa Kama ww mgeni mwenzako mzoefu
Unampa na ya kula njiani Umalayaa ulioota mizizii
 
Nmezaliwa mwezi august so nyota yangu ni simba

Huwa nikiumia kwenye mapenzi huwa najiambia "am lion i cant be weak"

Ila kuna nafsi nyingine "U fucking dump cat ,ur nothing in this game ..just cry"...

hii ya pili huwa inashinda mara nyingi
 
Kwa miezi 6 namfukuzia, Alikuwa anambia “mie kwa sasa sitaki Mahusiano” huku home anakuja niki ask for sex anakasirika ikafanya nizidi kuzama in love nikisema Wife Material, siku moja Nikamchukulia Uba kaja mpaka gheto, siku iyo akawa anakubali kufanya mapenzi na mie kwa mara ya kwanza, adi na K nika suck ile nataka kupachika rungu tu, nilipgwa makofi nikang’atwa akaniambia Sitaki Mahusiano, cjui alikumbuka nini siku iyo! Adi leo nina chata za Meno yake
 
Kwa miezi 6 namfukuzia, Alikuwa anambia “mie kwa sasa sitaki Mahusiano” huku home anakuja niki ask for sex anakasirika ikafanya nizidi kuzama in love nikisema Wife Material, siku moja Nikamchukulia Uba kaja mpaka gheto, siku iyo akawa anakubali kufanya mapenzi na mie kwa mara ya kwanza, adi na K nika suck ile nataka kupachika rungu tu, nilipgwa makofi nikang’atwa akaniambia Sitaki Mahusiano, cjui alikumbuka nini siku iyo! Adi leo nina chata za Meno yake
Eeeh mapepo hayoo...!! Yani from no where tu au kuna kitu ulimkosea...???
 
Eeeh mapepo hayoo...!! Yani from no where tu au kuna kitu ulimkosea...???

Yah Dem alikuwa Kigeugeu yani unamseti leo kesho anageuka sema ukishapenda huoni kasoro, Ila nadhani naye alikumbuka crush wake.
 
mkuu pole sana,tuliopitia hio kitu ndio tunaelewa machungu,jamiiforums nzima 70% ya wanaume wanaweza kuwa wameshaumizwa ila 10% ndio tunajua machungu ya kupigiwa simu na msenge anasema yeye ndio anamiliki demu wako
last year kuna manzi kampa jamaa yake simu anipigie afu anipige biti,mi siku mzingua msela nikamblock tu maisha yakaendelea,ila ile dharau iliniuma sana,juzi demu huyo kanitafuta akaomba msamaha nikamwambia hajanifanyia kosa lolote
Acha kabisa ni noma
 
Nipo O level day school tukahamia mkoa mwingine nikapata Jirani mrembo matata (sijui ilikua shida ya macho au moyo wa mapenzi). Nilimpenda hatari halafu tuko same class (form 3) shule tofauti. Muda mwingi tulikua pamoja mpaka nikapata ujasiri wa kumweleza hisia zangu nikaishia kuzungushwa tu huku jamaa wengine wakijilia tu kiulaini.

Niliumia sana kiasi kwamba kuna wimbo wa Wycliffe Jean inaitwa suicide love ndiyo ilikua anthem yangu nikiamini labda ipo siku nitapewa nafasi. Tumemaliza form 4 akahama mji bila kuaga nikaenda kwao kuuliza naambiwa amehamia Dar maumivu yale katika moyo yalikua kama ubatizo wa moto.

Niliomba namba ya sim nikapiga tuliishia kuongea kwa dk zisizozidi 2 akakata,.Baada ya hapo ilipita kama miaka miwili ndipo nilipoweza kupata courage ya kupenda tena lakini bado ilichukua muda kumtoa S kwenye system yangu. Tumekuja kuonana tena miaka 15 baadae halafu kajileta mwenyewe ilibidi nimle tu ili nifunge kitabu.
 
Back
Top Bottom