Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,393
- 88,770







Nilikuwa mkoa nilitia mtu mabanzi mpaka familia mzima kutoka dar, ukoo na polisi walikuja huko mkoani kumuokoa yule msengeee
Nilitulia baada ya bi mkubwa kunituliza maana nilikuwa namsaka kila chochoro na bakora


. Tumemaliza form 4 akahama mji bila kuaga nikaenda kwao kuuliza naambiwa amehamia Dar maumivu yale katika moyo yalikua kama ubatizo wa moto.