Unakijua Chama Cha KADIMA?

Unakijua Chama Cha KADIMA?

wakati mwingine muwe munajiheshimu
hivi ni nani anaweza kuingia chama
cha watu wenye matusi kama hivi.

acha upumba.vu kwani huyo mtangazaji ni mmarekani?au unaropoka tu,huyo ni mkenya umekalia kuclaim tu,make more sense questions than stupid mistake
 
Leo Slaa alikuwa anahojiwa na redio na WPFW Radio ya Washingyon DC Marekani.

Katika mahojiano hayo Dr. Slaa ametia aibu mno, lakini kilichosikitisha zaidi ni kwamba mtangazaji wa kipindi hicho Mwiza Munthali alishindwa kabisa kutamka neno CHADEMA na kila mara alikiita chama cha Slaa KADIMA.

Kwa lugha nyepesi ni kwamba interview ya Slaa imeshindwa hata kuuza jina la chama!

Kuna mambo kadhaa ambayo Slaa ameaibisha kama ifuatavyo:

1. Mara kadhaa Slaa alishindwa kutamka jina la kipindi anachohojiwa. Jambo hilo lilimfanya mtangazaji kumkumbusha several times kuwa kipindi kinaitwa africaNow baada ya Slaa kukiita AfricaOne. Tone ya mtangazaji ilionyesha wazi kuwa amechukizwa na lack of memory ya Slaa. Kwa wamarekani, kukosea jina la mtu ni offence ndio maana huyu mtangazaji alijisikia offended slaa kukoseakosea jina la kipindi chake.

2. Slaa alishindwa kujibu Chadema itafanya nini tofauti na CCM. Slaa aliishia kusema kuwa CCM ina sera nzuri sana na kwamba wao watakachofanya ni kuhakikisha sera za CCM zinatekelezwa kwa ufasaha zaidi. Wasikilizaji wa Marekani wakisikia hadithi kama hizo wanaona mtu anayesema hivyo is just a job seeker. Wamerakani wanataka kusikia tofauti ya sera, sio siasa za kusema mimi ndio ninajua zaidi kutekeleza sera za mwenzangu!!! Hapa Slaa kaabisha big time.

3. Mtangazaji alidhihirisha kuwa hamuamini Slaa kwa porojo zake mpaka akamwambia hapo inabidi tupate upande wa serikali nao tuusikie unasemaje. Slaa alizidisha chumvi.

4. Mtangazaji amefanya home work yake. Anajua composition ya parliament. Slaa alimdanganya mtangazaji kuwa Chadema (Kadima) ndio chama chenye absolute majority nchini Tanzania. Mtangazaji akamwambia lakini Bungeni mko wachache na chama chenu hakijapenetrate vijijini. Slaa akadanganya tena kuwa eti Chadema (Kadima) ina wafuasi wengi vijijini kuliko mijini. This is not true.
Kadima haina absolute majority kwenye Bunge wala mitaani. Slaa alidhani mtangazaji wa Marekani hajui mambo ya Tanzania, kumbe mtangazaji kajiandaa.

5. Slaa alianza kuongea hadithi za Mwangosi. Mtangazaji akamdhihirishia kuwa anaijua hadithi ya Mwangosi kwa undani na akamtajia jina la Mwangosi kabla hata slaa hajalitaja. Mtangazaji alishajua kuwa Mwangosi ndio single anayotumia Slaa ughaibuni kutafuta sympathy. Hata hivyo mtangazaji alibadilisha topic na kumuuliza Slaa mambo mengine kabla hajamaliza kusimulia hadithi yake pendwa ya Mwangosi.

Kiujumla Slaa katika majadiliano ya leo ametia aibu na ameshindwa kuinadi KADIMA kabisa!!!

My take:
Tunapowaambia kuwa Chadema (KADIMA) ni chama kinachoendeshwa katika misingi ya Kilaghai ndio muelewe nini tunamaanisha. Slaa kashaanza kuwageuka, sasa hivi anasema CCM ina sera nzuri.

Nyinyi kama mlikuwa mnaitukana CCM mwishowe mtajikuta kawaacha njia panda.

Ameenda Marekani amekuta sera za CCM zinasifiwa na yeye ameanza kusema ni sera nzuri!!!

Akili Kichwani, safari barabarani. Wajinga ndio waliwao...

Hadithi ya kutunga ili 'kupotezea' swala nyeti la mshahara mkubwa wa waziri mkuu wa Tanzania.

Wewe mwenyewe huna tofauti sana na huyo aliyekosea kusema Chadema, na akasema Kadima.

Angalia maandishi yako hapo kwenye blue jinsi ulivyokosea:-
  • Hapa duniani hakuna mji unaoitwa Washingyon DC ...!!
  • Umemsifia kuwa mtangazaji huyo alikuwa amejiandaa wakati hapo hapo unasema ameshindwa hata kutamka jina Chadema..!!!!
  • Umesema kuwa kukosea jina la mtu ni offence, ila Slaa hakukosea jina la mtu ila alikosea jina la kipindi (sio jina la mtu...!!!
  • Hapo kwenye red, Umeandika 'Hapa Slaa kaabisha big time..' sasa tuelewe kuwa 'kaaibisha' au 'kabisha'.

Hebu tujikumbushe kuhusu mshahara mkubwa wa waziri mkuu wa Tanzania, halafu tuone kama hiyo ndio 'sera' nzuri ya CCM ambayo unaitetea sana....
 
Naona unaji mix sana ZeMarcopolo

Katika mahojiano hayo Dr. Slaa ametia aibu mno, lakini kilichosikitisha zaidi ni kwamba mtangazaji wa kipindi hicho Mwiza Munthali alishindwa kabisa kutamka neno CHADEMA na kila mara alikiita chama cha Slaa KADIMA.

Mara kadhaa Slaa alishindwa kutamka jina la kipindi anachohojiwa. Jambo hilo lilimfanya mtangazaji kumkumbusha several times kuwa kipindi kinaitwa africaNow baada ya Slaa kukiita AfricaOne. Tone ya mtangazaji ilionyesha wazi kuwa amechukizwa na lack of memory ya Slaa. Kwa wamarekani, kukosea jina la mtu ni offence ndio maana huyu mtangazaji alijisikia offended slaa kukoseakosea jina la kipindi chake.
 
Last edited by a moderator:
wakati mwingine muwe munajiheshimu
hivi ni nani anaweza kuingia chama
cha watu wenye matusi kama hivi.

Unawakumbuka hawa jamaa wa CCM...
Tuanze na hawa kwanza.....



...a.k.a. Mhe. 'Kibajaji'....a.k.a. Mr. '....daadeki....'!!!!

6.+Lusinde+akiwachana+CHADEMA+kwenye+ngome+inayodaiwa+yao+Maji+ya+Chai.jpg




....Mhe. Peter Serukamba....a.k.a... Mr. 'matusi bungeni' !!!

peter-serukamba-april4-2013%281%29.jpg
 
Kwi kwi kwi kwi teh teh teh. You've got a point, mtangazaji aliiona hii picha kabla ya mahojiano:



Hapana.
Mtangazaji alikuwa na picha hii hapa...
Umemuona Seru-Kamba...

Zemarcopolo na Mamndenyi likes this..!!
JOY.JPG
 
hivi tufike mahali tujiulize watz,bungen vtu vyote viovu(ufisadi n.k) vnafchuliwa na hao wabunge pnzan ni co wa ccm,.huwa najiuliza ni vp huwa hawajui au?? ayaaah leo hii kuna uhuru wa kila mtu kusema chcht wazi ni chama gan kimeleta mwanga mkubwa kwny hlo?? ni hv hawa ccm wametawala kwa zaid ya miaka 50 sas lkn umeme,maji,elim,ajira,miundombnu bado ni tatzo bongo,.tubadilike sio kuwaponda tu wapnzan.!!
 
tatizo lako ni kutumia nadharia kwatika vitu vinavyohitaji vitendo. Umesikiliza majadiliano ya Slaa?

Umesikia jibu alilotoa kuhusu nini Chadema (Kadima) itafanya tofauti na CCM? Slaa amekiri kuwa CCM ina sera nzuri.

Wewe ni sikio la kufa ndo maana mmekalia majungu hapo Lumumba mnapishana kwenye keyboard kuanzisha hoja ziso na mashiko.Kwa ujinga wako hujui theory ndo inafanya practical?Kumekuwa na usemi mara nyingi hapa hujafanya uchunguzi huna haki ya kuongea ila ni kawaida ya CCM uwongo mwingi hata kwenye ahadi za kampeni.Mbona asituwekee clip tusikie?
 
Mwita acha kunichekesha aisee. Mambo ya Mtera muachie Le Mutuz Mbunge wa Mtera.

Hapa tujadili majadiliano ya Katibu Mkuu wa KADIMA...

Anasema KADIMA ina wanachama wengi vijijini kuliko mijini, unakubaliana naye?

Le Mutus ni mbunge wa Mtera tangu lini ???
This is new in Tanzania...!!
Au kuna mapinduzi yametokea leo leo ..!! Ritz anaweza kufafanua hii kadhia mpya.....

4.%2BLivingstone%2BLusinde%2Baka%2BKibajaji%2Bakihutubia%2BMakiba.jpg
 
Last edited by a moderator:
Vipi alikumbuka kusema nimekula hela za rambi rambi ya Mwangosi?

Wewe uko mbali na TZ sana...
Anayekula 'hela' kwa sasa hapa TZ ni huyu hapa...

Wewe uliza mshahara wake kwa mwezi, uambiwe jamaa 'anakunja' kiasi gani...

wpid-Prime-Minister-Mizengo-Pinda.jpg
 
Muda ambao ZeMarcopolo ametumia kubuni hii post angeliutumia kuandika jinsi gani chama chake kinaweza kuepukana na rushwa ingeliuongezea muda wako thamani!
 
Leo Slaa alikuwa anahojiwa na redio na WPFW Radio ya Washingyon DC Marekani.

Katika mahojiano hayo Dr. Slaa ametia aibu mno, lakini kilichosikitisha zaidi ni kwamba mtangazaji wa kipindi hicho Mwiza Munthali alishindwa kabisa kutamka neno CHADEMA na kila mara alikiita chama cha Slaa KADIMA.

Kwa lugha nyepesi ni kwamba interview ya Slaa imeshindwa hata kuuza jina la chama!

Kuna mambo kadhaa ambayo Slaa ameaibisha kama ifuatavyo:

1. Mara kadhaa Slaa alishindwa kutamka jina la kipindi anachohojiwa. Jambo hilo lilimfanya mtangazaji kumkumbusha several times kuwa kipindi kinaitwa africaNow baada ya Slaa kukiita AfricaOne. Tone ya mtangazaji ilionyesha wazi kuwa amechukizwa na lack of memory ya Slaa. Kwa wamarekani, kukosea jina la mtu ni offence ndio maana huyu mtangazaji alijisikia offended slaa kukoseakosea jina la kipindi chake....

U-Spin Doctor mwingine ni majanga!

Wamarekani huchukia sana mtu anapokesea JINA.

Sasa ona ulivyo Spin Doctor wa Majanga, unafurahia na kuchekelea pale Mtangazaji alipokosea through out jina la CHADEMA na kutamka KADIMA, What's up dude?

Ukiwa muongo pia lazima uwe na kumbukumbu.

BTW, Dr. Slaa unayemponda hapa, kumbuka JK 2010 alimkimbia kwenye mdahalo wa wazi. Hapo nani kiazi? Be the JUROR yourself.
 
slaa ameenda kutumbua pesa ya ruzuku inayotokana na kodi zetu huko ulaya na hawara yake
 
Back
Top Bottom