utaifakwanza
JF-Expert Member
- Feb 1, 2013
- 14,193
- 2,815
padre muasi at work, terorrising wake za watu. shame kwake
Amejmix kivipi? Au we ndo nujaelewa?Naona unaji mix sana ZeMarcopolo
Wewe uko mbali na TZ sana...
Anayekula 'hela' kwa sasa hapa TZ ni huyu hapa...
Wewe uliza mshahara wake kwa mwezi, uambiwe jamaa 'anakunja' kiasi gani...
![]()
Leo Slaa alikuwa anahojiwa na redio na WPFW Radio ya Washingyon DC Marekani.
Katika mahojiano hayo Dr. Slaa ametia aibu mno, lakini kilichosikitisha zaidi ni kwamba mtangazaji wa kipindi hicho Mwiza Munthali alishindwa kabisa kutamka neno CHADEMA na kila mara alikiita chama cha Slaa KADIMA.
Kwa lugha nyepesi ni kwamba interview ya Slaa imeshindwa hata kuuza jina la chama!
Kuna mambo kadhaa ambayo Slaa ameaibisha kama ifuatavyo:
1. Mara kadhaa Slaa alishindwa kutamka jina la kipindi anachohojiwa. Jambo hilo lilimfanya mtangazaji kumkumbusha several times kuwa kipindi kinaitwa africaNow baada ya Slaa kukiita AfricaOne. Tone ya mtangazaji ilionyesha wazi kuwa amechukizwa na lack of memory ya Slaa. Kwa wamarekani, kukosea jina la mtu ni offence ndio maana huyu mtangazaji alijisikia offended slaa kukoseakosea jina la kipindi chake.
2. Slaa alishindwa kujibu Chadema itafanya nini tofauti na CCM. Slaa aliishia kusema kuwa CCM ina sera nzuri sana na kwamba wao watakachofanya ni kuhakikisha sera za CCM zinatekelezwa kwa ufasaha zaidi. Wasikilizaji wa Marekani wakisikia hadithi kama hizo wanaona mtu anayesema hivyo is just a job seeker. Wamerakani wanataka kusikia tofauti ya sera, sio siasa za kusema mimi ndio ninajua zaidi kutekeleza sera za mwenzangu!!! Hapa Slaa kaabisha big time.
3. Mtangazaji alidhihirisha kuwa hamuamini Slaa kwa porojo zake mpaka akamwambia hapo inabidi tupate upande wa serikali nao tuusikie unasemaje. Slaa alizidisha chumvi.
4. Mtangazaji amefanya home work yake. Anajua composition ya parliament. Slaa alimdanganya mtangazaji kuwa Chadema (Kadima) ndio chama chenye absolute majority nchini Tanzania. Mtangazaji akamwambia lakini Bungeni mko wachache na chama chenu hakijapenetrate vijijini. Slaa akadanganya tena kuwa eti Chadema (Kadima) ina wafuasi wengi vijijini kuliko mijini. This is not true.
Kadima haina absolute majority kwenye Bunge wala mitaani. Slaa alidhani mtangazaji wa Marekani hajui mambo ya Tanzania, kumbe mtangazaji kajiandaa.
5. Slaa alianza kuongea hadithi za Mwangosi. Mtangazaji akamdhihirishia kuwa anaijua hadithi ya Mwangosi kwa undani na akamtajia jina la Mwangosi kabla hata slaa hajalitaja. Mtangazaji alishajua kuwa Mwangosi ndio single anayotumia Slaa ughaibuni kutafuta sympathy. Hata hivyo mtangazaji alibadilisha topic na kumuuliza Slaa mambo mengine kabla hajamaliza kusimulia hadithi yake pendwa ya Mwangosi.
Kiujumla Slaa katika majadiliano ya leo ametia aibu na ameshindwa kuinadi KADIMA kabisa!!!
My take:
Tunapowaambia kuwa Chadema (KADIMA) ni chama kinachoendeshwa katika misingi ya Kilaghai ndio muelewe nini tunamaanisha. Slaa kashaanza kuwageuka, sasa hivi anasema CCM ina sera nzuri.
Nyinyi kama mlikuwa mnaitukana CCM mwishowe mtajikuta kawaacha njia panda.
Ameenda Marekani amekuta sera za CCM zinasifiwa na yeye ameanza kusema ni sera nzuri!!!
Akili Kichwani, safari barabarani. Wajinga ndio waliwao...
Leo Slaa alikuwa anahojiwa na redio na WPFW Radio ya Washingyon DC Marekani.
Katika mahojiano hayo Dr. Slaa ametia aibu mno, lakini kilichosikitisha zaidi ni kwamba mtangazaji wa kipindi hicho Mwiza Munthali alishindwa kabisa kutamka neno CHADEMA na kila mara alikiita chama cha Slaa KADIMA.
Kwa lugha nyepesi ni kwamba interview ya Slaa imeshindwa hata kuuza jina la chama!
Kuna mambo kadhaa ambayo Slaa ameaibisha kama ifuatavyo:
1. Mara kadhaa Slaa alishindwa kutamka jina la kipindi anachohojiwa. Jambo hilo lilimfanya mtangazaji kumkumbusha several times kuwa kipindi kinaitwa africaNow baada ya Slaa kukiita AfricaOne. Tone ya mtangazaji ilionyesha wazi kuwa amechukizwa na lack of memory ya Slaa. Kwa wamarekani, kukosea jina la mtu ni offence ndio maana huyu mtangazaji alijisikia offended slaa kukoseakosea jina la kipindi chake.
2. Slaa alishindwa kujibu Chadema itafanya nini tofauti na CCM. Slaa aliishia kusema kuwa CCM ina sera nzuri sana na kwamba wao watakachofanya ni kuhakikisha sera za CCM zinatekelezwa kwa ufasaha zaidi. Wasikilizaji wa Marekani wakisikia hadithi kama hizo wanaona mtu anayesema hivyo is just a job seeker. Wamerakani wanataka kusikia tofauti ya sera, sio siasa za kusema mimi ndio ninajua zaidi kutekeleza sera za mwenzangu!!! Hapa Slaa kaabisha big time.
3. Mtangazaji alidhihirisha kuwa hamuamini Slaa kwa porojo zake mpaka akamwambia hapo inabidi tupate upande wa serikali nao tuusikie unasemaje. Slaa alizidisha chumvi.
4. Mtangazaji amefanya home work yake. Anajua composition ya parliament. Slaa alimdanganya mtangazaji kuwa Chadema (Kadima) ndio chama chenye absolute majority nchini Tanzania. Mtangazaji akamwambia lakini Bungeni mko wachache na chama chenu hakijapenetrate vijijini. Slaa akadanganya tena kuwa eti Chadema (Kadima) ina wafuasi wengi vijijini kuliko mijini. This is not true.
Kadima haina absolute majority kwenye Bunge wala mitaani. Slaa alidhani mtangazaji wa Marekani hajui mambo ya Tanzania, kumbe mtangazaji kajiandaa.
5. Slaa alianza kuongea hadithi za Mwangosi. Mtangazaji akamdhihirishia kuwa anaijua hadithi ya Mwangosi kwa undani na akamtajia jina la Mwangosi kabla hata slaa hajalitaja. Mtangazaji alishajua kuwa Mwangosi ndio single anayotumia Slaa ughaibuni kutafuta sympathy. Hata hivyo mtangazaji alibadilisha topic na kumuuliza Slaa mambo mengine kabla hajamaliza kusimulia hadithi yake pendwa ya Mwangosi.
Kiujumla Slaa katika majadiliano ya leo ametia aibu na ameshindwa kuinadi KADIMA kabisa!!!
My take:
Tunapowaambia kuwa Chadema (KADIMA) ni chama kinachoendeshwa katika misingi ya Kilaghai ndio muelewe nini tunamaanisha. Slaa kashaanza kuwageuka, sasa hivi anasema CCM ina sera nzuri.
Nyinyi kama mlikuwa mnaitukana CCM mwishowe mtajikuta kawaacha njia panda.
Ameenda Marekani amekuta sera za CCM zinasifiwa na yeye ameanza kusema ni sera nzuri!!!
Akili Kichwani, safari barabarani. Wajinga ndio waliwao...
Najaribu kuchangia hii thread lakini nimeshindwa kuona uzito wa hoja zakoo.. mara kakosea kutamka chadema akasema kadima, aliyetakiwa kusema africa now akasema afrika one, cd ya mwangosi imepitwa na wakati, ametia aibu, sera za ccm zinasifiwa.... Naomba utueleweshe nini hoja yako, kukosea kutamka matamshi (jambo ambalo lilitokea kwa mwandishi na slaa), kuongelea mwangosi (huonyeshi na huoni haja ya kusympathize), slaa kusema ccm ina sera nzuri ila utekelezaji mmbovu (weewe hupendezwi na slaa kukiri hilo) au slaa kutia aibu (hili najua ndio furaha yakoo)?!!!!!!!!!!!
HUSOMEKI KIONGOZIII
You are getting paid to spread lies. To argue with you is a waste of time
Inawezekana una hoja ila umejawa na hisia zaidi ......
''Tone ya mtangazaji ilionyesha wazi kuwa amechukizwa na lack of memory ya Slaa. Kwa wamarekani, kukosea jina la mtu ni offence ndio maana huyu mtangazaji alijisikia offended slaa kukoseakosea jina la kipindi chake''..
- Yaani kwako mtu kukosea kutamka neno moja hiyo unatafsiri kuwa ni ''lack of memory''?!Vipi Waziri wetu wa elimu aliyekosea Majina ya Nchi yanayounda Jamhuri ya Muungano wa Tanzania bado akakosea mwaka wa Muungano?!
- Una-generalize mambo kwamba kwa ''Wamarekani''...Are u sure about this brother?!
- Bado unamsemea mtangazaji kwamba ''alijisikia offended''
''Mtangazaji alidhihirisha kuwa hamuamini Slaa kwa porojo zake mpaka akamwambia hapo inabidi tupate upande wa serikali nao tuusikie unasemaje. Slaa alizidisha chumvi''
- Bado unaendelea kutoa hisia za mtangazaji ili ku-justify unachotaka wasomaji wa thread hii kuamini.
Nadhani ifike wakati watu wakubali kuwa Jf sio CCM na CHADEMA kuna watu humu ndani ambao hawana Vyama lakini tuna interest ya kuona na kushiriki kwenye mijadala ya kisiasa ambayo haina ushabiki ndani yake bali ukweli.
Kama wewe unavyotaka kuwala wajinga wenzako na udaku wako.Utawala wajinga wenzako tu werevu hutawapata.
mbona hiyo kwake kawaida sana, kumbuka pia hivisasa anamatatizo ya uzee. ukiacha hayo pia ubavu wake haumshauli vizuri kazi yao ni kulumbana tu. pia babu amegundua Jose na kaka yake wanaajenda ya siri "Ben saanane" ndiomaana mda mwingi amekuwa na jazba.Kiongozi yeyote wa chadema asipotukana hana hoja nyingine ndiyo maana kila mwanachadema alipo na matusi yamemzungu ni aibu kwa mtu kama slaa kuwa na hotuba za jazba na matukano.
Kiingereza ni lugha kama ilivyo Kichaga cha Old Moshi, Kilimanjaro.
Turudi kwenye mada. Kwanini Dr. Slaa anadanganya kwenye vyombo vya habari?
kwanini Tanzania ni masikini?
2. Slaa alishindwa kujibu Chadema itafanya nini tofauti na CCM. Slaa aliishia kusema kuwa CCM ina sera nzuri sana na kwamba wao watakachofanya ni kuhakikisha sera za CCM zinatekelezwa kwa ufasaha zaidi. Wasikilizaji wa Marekani wakisikia hadithi kama hizo wanaona mtu anayesema hivyo is just a job seeker. Wamerakani wanataka kusikia tofauti ya sera, sio siasa za kusema mimi ndio ninajua zaidi kutekeleza sera za mwenzangu!!! Hapa Slaa kaabisha big time.
Kadima haina absolute majority kwenye Bunge wala mitaani. Slaa alidhani mtangazaji wa Marekani hajui mambo ya Tanzania, kumbe mtangazaji kajiandaa.
My take:
Tunapowaambia kuwa Chadema (KADIMA) ni chama kinachoendeshwa katika misingi ya Kilaghai ndio muelewe nini tunamaanisha. Slaa kashaanza kuwageuka, sasa hivi anasema CCM ina sera nzuri.
Nyinyi kama mlikuwa mnaitukana CCM mwishowe mtajikuta kawaacha njia panda.
Ameenda Marekani amekuta sera za CCM zinasifiwa na yeye ameanza kusema ni sera nzuri!!!
Akili Kichwani, safari barabarani. Wajinga ndio waliwao...