Hakusema sera za CCM nzuri. Nimesikiliza mahojiano yote.
Zenaecopolo kawadanganya, na ninyi mnakubali tu.
Yeye
ZeMarcopolo nia yake ni kusahaulisha wa-Tanzania kuhusu malipo makubwa ya waziri mkuu wetu.
Hivyo kaanzisha thread hii yenye kupotosha.
Mbinu kama hizi zinaitwa 'political diversion'...
Upo hapo..???
Swala zima hapa TZ ni kujiuliza, vipi uchumi mbovu sana wakati 'wenzetu' akina 'Million 26' wanatanua 'mbaya' ..!!!
Jiulize, kwa nini wewe unalipwa sh. elfu saba tu kwa siku (210,000 kwa mwezi..!!) kwa ajira ya JF, wakati jamaa 'anavuta' sh. 26 million kwa mwezi, halafu anawakaririsha kuwa hali ya uchumi TZ ni mabay..!!!
Upo hapo..????
Copy:-
Mamndenyi,
FaizaFoxy na
Lizaboni.