GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,648
- 10,843
Unaweza ukasema, "kwani Marekani ni Mbinguni?"
Lakini ukweli ni kwamba wakubwa wengi wanapenda kwenda huko ama kwa ziara rasmi au kwa ajili ya kutumbua hela! Hata mimi kuna siku nitafika USA!
Taarifa iliyopo ni kuwa Marekani inalifuatilia sakata la wanaharakati kutoka nchi jirani kudhalilishwa walipofika nchini kufuatilia kesi ya Lissu!
Waombe tu ufuatiliaji huo usiwatie hatiani! Vinginevyo, baadhi ya watawala wanaweza wakapigwa marufuku kwenda USA!
Inaweza isifikie huko, lakini sitashangaa pia ikiwa hivyo!
Lakini ukweli ni kwamba wakubwa wengi wanapenda kwenda huko ama kwa ziara rasmi au kwa ajili ya kutumbua hela! Hata mimi kuna siku nitafika USA!
Taarifa iliyopo ni kuwa Marekani inalifuatilia sakata la wanaharakati kutoka nchi jirani kudhalilishwa walipofika nchini kufuatilia kesi ya Lissu!
Waombe tu ufuatiliaji huo usiwatie hatiani! Vinginevyo, baadhi ya watawala wanaweza wakapigwa marufuku kwenda USA!
Inaweza isifikie huko, lakini sitashangaa pia ikiwa hivyo!