Bi nyakomba
JF-Expert Member
- Mar 23, 2012
- 385
- 104
amang'ana
Umeona eeeh yaani kidhungu ndiyo wengi wanajua sana kama vipi twende ngery basi ili usidhani tumekuwacha.to be honest, sijui lugha ya kinyumbani, i only know few words na pia watu wakiongea nawasikia.............unachosema kinaweza kuwa kweli kwani nimezaliwa mjini hapa hapa na bibi/babu tushawazika kitambo.........ndio mojawapo ya athari za maendeleo.........hata lugha iliyokuwa inaongelewa nyakati za Yesu, haitumiki sana kama sio kabisa.
Namai kuuta mmbarammbara se doy?
yetoni! niho pouwa, nafuma kudengana, nihema du aha! uu babu uu, enenkoma!