Unajua kuongea lugha ya kabila lako?

Unajua kuongea lugha ya kabila lako?

Haya bana twende kazi sasa........
to be honest, sijui lugha ya kinyumbani, i only know few words na pia watu wakiongea nawasikia.............unachosema kinaweza kuwa kweli kwani nimezaliwa mjini hapa hapa na bibi/babu tushawazika kitambo.........ndio mojawapo ya athari za maendeleo.........hata lugha iliyokuwa inaongelewa nyakati za Yesu, haitumiki sana kama sio kabisa.
 
Back
Top Bottom