Hahahahahahahahhahahahahahahhahahahhahhhahahaha nafwa mimi, Kuuri nswa wa kinini nni ungau to kongosho.
mwee!nne mbwituuuu.:redface:
Hahahaha NKWE IWE UKE WANGWA KONGOSHO,KUITIKISWA NNI TO?
unamaanisha Mungu,God, Imana? Si kweli.........Mbona sijaona neno likiishiwa na mungu sababu kinyarwanda majina na maneno mengi yanaishiwa na mungu.
nahavache naighuta! (kipare)
to be honest, sijui lugha ya kinyumbani, i only know few words na pia watu wakiongea nawasikia.............unachosema kinaweza kuwa kweli kwani nimezaliwa mjini hapa hapa na bibi/babu tushawazika kitambo.........ndio mojawapo ya athari za maendeleo.........hata lugha iliyokuwa inaongelewa nyakati za Yesu, haitumiki sana kama sio kabisa.Haya bana twende kazi sasa........