Unajua kuongea lugha ya kabila lako?

Unajua kuongea lugha ya kabila lako?

Hakika kuna kazi mbeleni sana!

(Enoo mbees'i tushumu elukunya siike emirura)
 
hii thread nitaomba ifungwe
mnatunyanyasa kwa kweli
 
I see....!! Watu wanatirika kikwao noma! Ngoja nijaribu na mie, "elo nne nyukwite..!!" ndiyo nimeshiba [kimwera] "eelo nangu nnishiba" ndiyo nimeshiba [kimakonde]
 
Mi nataka kuanzisha kibila linalotwa wa Dar es Salaam ambalo litawahusu watoto wote waliozaliwa wilaya za Ilala, Temeke na Kinondoni ambao hawajui kuzungumza makabila ya wazazi wao, najua nitawavuna wengi.
 
Back
Top Bottom