unajua hili???

unajua hili???

Hata kama ni ubahili huu mwingine umezidi,kalenda za bukubuku mbona kibao!

zipo hata za bure... Ukinunua gazeti unapata kalenda bure.... Pia siku hizi taasisi nyingi huwa zinagawa kalenda!!!
 
weeeeee nilikua unyagoni kwa siku kadhaa nimerudi,taratibu na waume za watu bibi eeeee,tafuta single mwenzio na LOYA nimemuwekea tego,Gusa unase,Bishanga hukumwambia nini,amtue bby wangu staki mada coz naweza ua mtu!

maneno meeeeengi!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom