Eiyer
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 28,259
- 20,914
Best mi nataka nipate tu ka uzoefu ka siku hiyo ya kwanza na namna ulivyojisikia tu
BTW:There is something you need to know
Your signature,i like it much........!!!!!!!!!!!!!!!
Damn...daaahhhhhhh!!!!!ni baada ya miezi kadhaa. Tuliitaji kufahamiana walau kidogo na tulitaka kuwepo na ukaribu wa kutosha and the thing happened natural yani hatukusema leo ndio leo, no hata yeye alishangaa tulijikuta it has happened na ndio hivyo ikaendelea. Usiulize ilikuwa wapi, imagine hamkupanga, you were just talking and it happened. It was so perfect.
ahahahhahah jibu kwanza swali langu hapo juu!Sikushiki mkono kabisaaaaaaaaaaaaaaaa
Mimwenyewe nataka useme...!!!!!!!
Afaalekii...!!!!!!!!!!!!!!!
Vipi kuku alichinjwa siku hiyo au sio??
sasa kwani hapa ni swali ni siku ya kwanza ya mtoko au siku ya kwanza ya kunjunja!
af mnataka tuseme siku ya kwanza na yupi?ahahahahha Ennie ukujeeee naweza nikashindwa kudefend haya maswali yangu mwenywe!
mi nataka kujua tu!
hapa mnataka tusemeje kwan? Kaizer fafanulia mwalimu akee swali Asprin ukuje for more clarificasioooo!
damn...daaahhhhhhh!!!!!
How was it.......lolzzzzz!!!!!!!!!!
Ile siku sikuwa serious bana.......ye ndio Muzungu wangu
Aah nilicheka sana sababu tulikuwa marafiki kwa mwaka mzima nikiwa tayari nimeshamaliza chuo na kuunganisha masters mkoa huo alipo.kwahiyo tulizidi kuwa marafiki sana na ni mtu anaependa utani nikajua anatania as usual nikachekaaa akakasirika huyo akahisi nimemdharau.
Hapo lazima ulipata ajira...
Sasa unamuita Ennie wa nini?
Huyo ni bingwa wa kuniwekea vikao parokiani
Hapa nataka ile siku ya kwanza mlipoonana kwanza mengine yanafuata...!!!!!!!!!
asee mi ni kati ya mitoto mitundu kabisa ambayo wazazi waliweza kuwa nayo!duh
the thing was like cap!
by 14 tayari nshajua kurembua na kubinua kawowowo kha!
ahahhahha sio story nzuri kueleza mtu na hishma zangu kama mimi!
tuheshmiane Eiyer
EBOH!