Unaikumbuka hii siku ya kwanza..??

Unaikumbuka hii siku ya kwanza..??

Kwenye duka. Mtoto mtamu yule, halafu ana kijungu fulani mbinuko kama cha Kongosho.
Nilimpiga mistari siku kadhaa lakini mafanikio baada ya miezi minne!!

************
Mbona siwaoni wale wa FB, Twitter, Instagram na Watsupp
 
Last edited by a moderator:
mhm! mi hata sikumbuki ilikuwaje maana ilianza kama utani vile kisha................... kwa kwenda mbele

Aaaaahhhhhh bana hebu kumbuka ilikuwaje?
What was his first step??
 
alianza yeye kuleta cv zake nikaona yuko poa basi nikampa bahati yake...hahahahahah leo! ninalo hili!

Na kweli unalo ....lolzzzz!!!!!!!!
Vipi mtoko wa kwanza ulikuwaje?
Ulilala kweli siku ya kuamkia siku ya mtoko??
 
Kwenye duka. Mtoto mtamu yule, halafu ana kijungu fulani mbinuko kama cha Kongosho.
Nilimpiga mistari siku kadhaa lakini mafanikio baada ya miezi minne!!

************
Mbona siwaoni wale wa FB, Twitter, Instagram na Watsupp

Mkuu ngoja Kongosho aje hapa .....

Kwani Fb ina muda gani ?????
 
Last edited by a moderator:
Nilikutana nae kwenye ngazi mabibo hostel mwenyewe nimebeba maji kama power mabula.kulikuwa na shida sana ya maji mabibo hostel akaona anisaidie kupandisha juu coz nilikuwa floor ya kwanza na napanda floor ya tatu na nimebeba ndoo mbili.mtoto nikashukuru pale na kumsindikiza mpaka chini akaendelea na safari zake.nilijua ni mwanafunzi kumbe alikuwa si mwanafunzi bali aliagizwa na rfk ake alete mzigo kwa mdogo wa huyo rafiki yake waliekuwa wanaishi mkoa fulani hivi pamoja.alirudi tena nitafuta baada ya miezi miwili coz alishajua room nnayokaa baada ya kunisaidia kufikisha maji ninapoenda.ghafla tukawa marafiki na mwisho wapenzi.last year afta 5 years of friendship tumefunga ndoa na sasa tunaexpect kupata first born wetu on april.Thank God nimeokota lulu kwenye ngazi.the man is real real in love n treat me like an Angel!
 
jamani mbona unataka niachiemchele humu ndani wakati kuku ni wengi bestito

Best mi nataka nipate tu ka uzoefu ka siku hiyo ya kwanza na namna ulivyojisikia tu

BTW:There is something you need to know
Your signature,i like it much........!!!!!!!!!!!!!!!
 
Nilikutana nae kwenye ngazi mabibo hostel mwenyewe nimebeba maji kama power mabula.kulikuwa na shida sana ya maji mabibo hostel akaona anisaidie kupandisha juu coz nilikuwa floor ya kwanza na napanda floor ya tatu na nimebeba ndoo mbili.mtoto nikashukuru pale na kumsindikiza mpaka chini akaendelea na safari zake.nilijua ni mwanafunzi kumbe alikuwa si mwanafunzi bali aliagizwa na rfk ake alete mzigo kwa mdogo wa huyo rafiki yake waliekuwa wanaishi mkoa fulani hivi pamoja.alirudi tena nitafuta baada ya miezi miwili coz alishajua room nnayokaa baada ya kunisaidia kufikisha maji ninapoenda.ghafla tukawa marafiki na mwisho wapenzi.last year afta 5 years of friendship tumefunga ndoa na sasa tunaexpect kupata first born wetu on april.Thank God nimeokota lulu kwenye ngazi.the man is real real in love n treat me like an Angel!

Ilikuwaje alipokuambia kuwa anakuzimia??????
 
HAHAHAHA sikulala kwa kweli maana nilikuwa najaribu kuimajin raha yake itakuwaje mweh!
Na kweli unalo ....lolzzzz!!!!!!!!
Vipi mtoko wa kwanza ulikuwaje?
Ulilala kweli siku ya kuamkia siku ya mtoko??
 
alichinjwa baada ya siku ngapi??????

ni baada ya miezi kadhaa. Tuliitaji kufahamiana walau kidogo na tulitaka kuwepo na ukaribu wa kutosha and the thing happened natural yani hatukusema leo ndio leo, no hata yeye alishangaa tulijikuta it has happened na ndio hivyo ikaendelea. Usiulize ilikuwa wapi, imagine hamkupanga, you were just talking and it happened. It was so perfect.
 
ahahahhahahhhahha niseme nisisemeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee! Eiyer nishike!
ahahahahhah nsihike nimesema!
nataka kuharibu hali ya hewa humu sasa hiv!
nishikeni jamani!
 
Last edited by a moderator:
HAHAHAHA sikulala kwa kweli maana nilikuwa najaribu kuimajin raha yake itakuwaje mweh!

Afaalekii...!!!!!!!!!!!!!!!
Vipi kuku alichinjwa siku hiyo au sio??
 
Back
Top Bottom