Unaikumbuka hii siku ya kwanza..??

Unaikumbuka hii siku ya kwanza..??

Lete story ya yule unaemlavu ze most
Even mama matesha ...lol!!!!!!!!

what if kuna mama matesha the 1st ,2nd and the list continues........................ ahhahaha Asprin mi nakutekia heri ndugu yangu kwenye kuridhisha moyo wa huyu kijana!
ila asiseme sijamuonya!
 
Last edited by a moderator:
ahahahahhaha nakuonea huruma
yu dont even know wht ur asking for!
ahahahahhah nakupenda sana mdogo wangu humu hapatatoshaaaaaa
enh!
shaurilo!
mimi na wanaofaanna na mimi hebu tuwache tuu!
hili sredi tutaharibu hapa bureeee!lol

Hii kitu ya Bob unayovutiaga maliwatoni itakuwehusha
Nani mdogo wako????
Unataka kuninyima nini?
Muone kwanza.......lol!

Hebu funguka wewe acha kujidai hamnazo
Ilikuwaje hiyo siku aliyokunyong'onyesha?????
 
what if kuna mama matesha the 1st ,2nd and the list continues........................ ahhahaha Asprin mi nakutekia heri ndugu yangu kwenye kuridhisha moyo wa huyu kijana!
ila asiseme sijamuonya!

Utaruka sana kama vile umeiona...!!!!!!!!!!!!
Lakini bado nataka ufunguke hapa.....
 
ahahahahahahha damn yu shemeji!
sijapenda kabisa hili jibu lako!
sasa ndo nini kama nimekudesa!
huyu dogo hajui watu tuna matukio kama wayahudi vile!
toka dunia inaumbwa wana visa na vimbwanga vyao
sasa haya maswala si ni kutaka serve ya jf igome kufanya kazi! Eiyer een h hebu tuwache!
tuwache kabisaaaaa
hapa hii sredi haitufai!
yani ujue itakuwa blaa humu!
oh!

Hahahah umeona sasa. Hiyo shemeji uloniita damn huoni umeniongezea list ya nlokutana nao mara ya kwanza?
 
Last edited by a moderator:
mimi nilikutana nae ofisini alikuwa anakuja kuleta matangazo akawa rafiki yangu nikawa namuelezea mateso ya bf wangu ikaendelea hivyo one day akaniambia nataka kukuoa uko tayari kuwa mke na mama mungu akijali? now ni mke wake na watoto wawili wakiume miaka 5 ya ndoa.. tumepitia mengi mno nashukuru mungu

Ilikuwaje siku aliyokuambia hayo??
 
what if kuna mama matesha the 1st ,2nd and the list continues........................ ahhahaha Asprin mi nakutekia heri ndugu yangu kwenye kuridhisha moyo wa huyu kijana!
ila asiseme sijamuonya!

Mwalimu endelea kuniombea nisijeingia kwenye mtego wa huyu dogo. shetani alale pema motoni.
 
Last edited by a moderator:
Duuu mimi nilikua natembea kuelekea home nikapande daladala jamaa alikua na gari ananiita flani mi nilimcheki kwa jicho baya nikajisemea kirohon.
Watu wengn bwana wakiazima magari ni shida tupu. Niko kweny daladala kumbe na yeye alishuka kweny gari lake kanifata kwny daladala niliposhuka na yy akashuka oooh my god
.....jamaa akaanz mambo unaenda wap nikamwambia bado tu unanifata fata kaniambia naomba namba yko ya simu nikamjibu sina tulipelekana hadi mtaa ya home. Akaniabdikia namba yke kweny karatas .mi sikumzingatia hata .wiki mbili zilipita ndo nikamtafuta
..............kwel tumetoka mbali mimi na g wangu mpk sasa naitwa mama lov u hubby
 
Duuu mimi nilikua natembea kuelekea home nikapande daladala jamaa alikua na gari ananiita flani mi nilimcheki kwa jicho baya nikajisemea kirohon.
Watu wengn bwana wakiazima magari ni shida tupu. Niko kweny daladala kumbe na yeye alishuka kweny gari lake kanifata kwny daladala niliposhuka na yy akashuka oooh my god
.....jamaa akaanz mambo unaenda wap nikamwambia bado tu unanifata fata kaniambia naomba namba yko ya simu nikamjibu sina tulipelekana hadi mtaa ya home. Akaniabdikia namba yke kweny karatas .mi sikumzingatia hata .wiki mbili zilipita ndo nikamtafuta
..............kwel tumetoka mbali mimi na g wangu mpk sasa naitwa mama lov u hubby

Hongera zenu.....nawatakia mafanikio kwenye ndoa yenu jamani.........

unajua hilo pozi la nipe namba nitakutafuta nalifaham sana tu....sa baada ya week mbili kwa nini ulimtafuta
 
Mwalimu endelea kuniombea nisijeingia kwenye mtego wa huyu dogo. shetani alale pema motoni.

images

Babu hebu tukumbushe the first day ya hii makitu aiseeee!!!!!!!!!!!
 
Duuu mimi nilikua natembea kuelekea home nikapande daladala jamaa alikua na gari ananiita flani mi nilimcheki kwa jicho baya nikajisemea kirohon.
Watu wengn bwana wakiazima magari ni shida tupu. Niko kweny daladala kumbe na yeye alishuka kweny gari lake kanifata kwny daladala niliposhuka na yy akashuka oooh my god
.....jamaa akaanz mambo unaenda wap nikamwambia bado tu unanifata fata kaniambia naomba namba yko ya simu nikamjibu sina tulipelekana hadi mtaa ya home. Akaniabdikia namba yke kweny karatas .mi sikumzingatia hata .wiki mbili zilipita ndo nikamtafuta
..............kwel tumetoka mbali mimi na g wangu mpk sasa naitwa mama lov u hubby

Siku ya mtoko wa kwanza ilikuwaje bibie??
 
Back
Top Bottom