sasa kwani hapa ni swali ni siku ya kwanza ya mtoko au siku ya kwanza ya kunjunja!
af mnataka tuseme siku ya kwanza na yupi?ahahahahha Ennie ukujeeee naweza nikashindwa kudefend haya maswali yangu mwenywe!
mi nataka kujua tu!
hapa mnataka tusemeje kwan? Kaizer fafanulia mwalimu akee swali Asprin ukuje for more clarificasioooo!
Uzungu wangu umekujaje wakati mie jeusi kama chungu?
hahahah mwalimu, na haka kaumri ketu huyu dogo anataka tujaze seva za jf kwa msururu wa matukio.
Mi nakumbuka nlishamtongozaga demu kumbe nlishawahi kumgegeda kipindi cha nyuma. Hebu imajin mwalimu si tutaumbuana hadharani hapa?
Damn you mara mia mbili!Damn you ......
Mi nataka nijue mlikutana wapi na ilikuwaje siku hiyo..
We unaleta zako hapa
Hebu mwagika madam eboh!!!!!!!!
Lete story ya yule unaemlavu ze most
Even mama matesha ...lol!!!!!!!!
Usijali tuko wengi sana
Tutapata tu ...........!!!!!!!
ahahahahahahha damn yu shemeji!hahahah mwalimu, na haka kaumri ketu huyu dogo anataka tujaze seva za jf kwa msururu wa matukio.
Mi nakumbuka nlishamtongozaga demu kumbe nlishawahi kumgegeda kipindi cha nyuma. Hebu imajin mwalimu si tutaumbuana hadharani hapa?
Damn you mara mia mbili!
maswali gani hapa unataka kufanya watu tuumbuane humu mxiiiiou
sasa manake kuna siku ya kuonana!
ipo ile niliyokisiwa mara kwa nza
ipo ile nilipotest af kitu kikagoma
ipo ile nilipomaliza kabissssssaaa lakini haikuwa hata tamu
ipo ile niliposema haya sasa ureteeeeeee!
ahahahahhahah siku za kwanzza zipo nying Eiyer hebu niwache!
ntajaza server
Niombee ruhusa kwa Heaven on Earth. tuna makubaliano ya kutovujisha siri ya penzi letu.
ahahahahhaha nakuonea hurumaMbona nimeshakuelekeza namna ya kuanza?
Au umeshatumia ile kitu ya Bob saa hizi?
Nimekuambia tuanze na ile siku ya kwanza kuonana......
Haya endelea ......!!!!!!!!!!!!