Unaikumbuka hii siku ya kwanza..??

Unaikumbuka hii siku ya kwanza..??

Eiyer
Hongera kwa thead fupi lakini iliyo na mpangilio mzuri wa kueleweka vema (steps) na kunakishiwa kwa picha murua.
 
Last edited by a moderator:
du mtoko kaka ilikuwa pouwa sana, sababu alikuja kwangu zen jioni tukaenda eneo fulani hivi, tulienjoy sana ila hamna mtu aliyekuwa na aibu na mwenzake. ningekuwekea na picha ila sema ndo hivyo JF chunga kucha.

Mkuu mlifika huku?

images
 
Eiyer
Hongera kwa thead fupi lakini iliyo na mpangilio mzuri wa kueleweka vema (steps) na kunakishiwa kwa picha murua.

Asante sana mkuu
Hebu tupe story yako
Ilikuwaje?
Ulimpatia wapi???
 
nilijiskia faraja kwa kweli na niliamini huyo ndio mume mungu kaniletea...
 
Mkuu mlifika huku?

images

teh, teh, teh, teh, teh, teh, uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii, mkuu tulifika tena ilikuwa nouma, ila sema kivazi sikutumia. ila umenipa shida hapa nilipo na hiyo picha yako.
 
Jf raha tupu, ila snowite umenichekesha sana eti ulitema mate njia mzima na mswaki juu

Ahahagahaha we acha tu!!
Nilitema mate,nilihs kama nn sijui mwe!!
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: awp
Mie nilimuona kwenye Sherehe,waliishi karibu na my Best friend siku ya sherehe akaniambia huyu mkaka anaringa sana
mie nikamponda sana nikasema girlfriend wake ana shida sana mi siwezi kutoka na mkaka kama huyu hataa
kwanza anaonekana kama PLAYBOY tu..lakin rohoni nilimsifia He was such a GENTLEMAN for real

kuna siku akanikuta kwenye mgahawa fulani tunakula na my friend alikuwa ye na rafiki yake mara ya kwanza
walitupita walivopita tu tukaanza kuwasema hamad hao wakarudi wakatusalimia ka dk 2 then wakasepa...........
baadae akaniambia pale ndio ilikuwa first time kuniona na pale ndio moyo wake ulinidondokea

hakuwahi kunitongoza directly tulizoeana tukajikuta tunafall in LOVE tumepita mengi lakin we are still together

rafiki zangu hadi leo huwa wananicheka sana na kurecall yale maneno yangu niliosemaga kwenye ile sherehe
Ndo umeamua kunianikia matusi ulonitukana moyoni
 
nilijiskia faraja kwa kweli na niliamini huyo ndio mume mungu kaniletea...

Tueleze mtoko wa kwanza basi ulikuwaje na ulijisikiaje??
 
teh, teh, teh, teh, teh, teh, uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii, mkuu tulifika tena ilikuwa nouma, ila sema kivazi sikutumia. ila umenipa shida hapa nilipo na hiyo picha yako.

Hadi mkawa hoooiiiiiiii hivi

images
 
Back
Top Bottom