Unahitaji kuwa Afisa Usalama? Give it a try

Unahitaji kuwa Afisa Usalama? Give it a try

Mkuu hata lifestyle yake tu ilianza kunipa mashaka, ubusy mwingi...muda wowote anapigiwa simu na maongezi yanaishia hapo anasepa!
Pia kuna baadhi ya sehemu alikuwa hawezi kabisa kuingia, na anaishia kutoa sababu ambazo hazieleweki!


Aisee Pole sana,

Kama wapi hataki kuingia kabisa mkuu
 
Hahahah!! Ok, here we go...
....

Najua watu wa dizaini yako, najua unachojaribu ku-insinuate... Najua unataka watu wakuoneje, najua unataka watu wakuhisi wewe ni nani...

You are not.. Stop pretending.... Its pathetic!!
.
😀😀😀😀😀😀
 
Mimi ndo kwanza nna miaka 28. Na ndo kwanza naanza kufuata hizo taratibu zilizotolewa hapo ili siku moja wanione hawa jamaa...


Ila nahisi kukata tamaa mapema,maana nahisi ntahangaika na hizo sijui kujua Kichina,sijui Kikorea,mara Kihindi... Hadi nkavijue hvyo miaka 35 tayari.

The bod vipi hapo ntakuwa bado nipo kwenye target???
Ama niachane na hizi habari nifanye mambo mengine?
 
Mimi ndo kwanza nna miaka 28. Na ndo kwanza naanza kufuata hizo taratibu zilizotolewa hapo ili siku moja wanione hawa jamaa...


Ila nahisi kukata tamaa mapema,maana nahisi ntahangaika na hizo sijui kujua Kichina,sijui Kikorea,mara Kihindi... Hadi nkavijue hvyo miaka 35 tayari.

The bod vipi hapo ntakuwa bado nipo kwenye target???
Ama niachane na hizi habari nifanye mambo mengine?
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Mimi ndo kwanza nna miaka 28. Na ndo kwanza naanza kufuata hizo taratibu zilizotolewa hapo ili siku moja wanione hawa jamaa...


Ila nahisi kukata tamaa mapema,maana nahisi ntahangaika na hizo sijui kujua Kichina,sijui Kikorea,mara Kihindi... Hadi nkavijue hvyo miaka 35 tayari.

The bod vipi hapo ntakuwa bado nipo kwenye target???
Ama niachane na hizi habari nifanye mambo mengine?
Ngoja nikusaidie kitu kimoja mkuu kama sio viwili au kadhaa...
Hii kazi inaendaga kwa wale ambao hawaitaki kabisa!!! Yani wale ambao hawana time nayo either wanaijua au hawaijui ndo wanatakiwa!!! Ni kwamba kadri unavozidi kuitamani ndivo na yenyewe inavozidi kukukimbia!!! So,we fanya mambo mengine tu!!! Kama kweli Mungu amekupangia kuwa huku basi nawe utakuwa tu,nitarudi..
 
😀😀😀😀😀😀
Yeye alisha diclere interest kwamba yeye siyo afisa usalama wala hajawahi kuwa.....ila alijifunza haya mambo na ka shea ..,.,,na mimi sioni kosalake....na namkubali pia....mwacheni
 
Kwahiyo unaposoma hili andiko fupi na siku utakaposoma makala kamili nitakapo iweka ni muhimu kuzingatia hilo, am not one of them!
Nina uzoefu tu wa kusikia kutoka kwa wahusika na walio karibu nao na pia natafiti sana.
THE BOLD
The bold;
Hapa umekosea kidogo kuongea. Ungesema kwamba wewe ni mmoja wao, tungeamini kuwa wewe siyo mmoja wao, kwa sababu kawaida mmoja wao hawezi kusema kuwa ni mmoja wao!
 
Ngoja nikusaidie kitu kimoja mkuu kama sio viwili au kadhaa...
Hii kazi inaendaga kwa wale ambao hawaitaki kabisa!!! Yani wale ambao hawana time nayo either wanaijua au hawaijui ndo wanatakiwa!!! Ni kwamba kadri unavozidi kuitamani ndivo na yenyewe inavozidi kukukimbia!!! So,we fanya mambo mengine tu!!! Kama kweli Mungu amekupangia kuwa huku basi nawe utakuwa tu,nitarudi..
Unaweza kunisaidia ni kwa nn ukionyesha kuitaka ndo hufai? Na kwa nn kwa asiye ipenda ndo anaweza kupewa, what's the theory behind?
 
Binafsi sioni ni kwanini watu wanataka kufanya kazi idara hii ya sasa. Wamefanya mambo gani ya kujivunia zaidi ya kulinda viongozi? Ni umaskini na ukosefu wa ajira tu ndo unaweza kumfanya mtu atamani kufanya kazi huko ili aje bar atutambie na kitambulisho chake cha 'bibi na bwana' huku Twiga wetu wanapanda ndege na watu wanauawa kama kuku huko Kibiti!

Hapana hawa watu hujawaelewa vizuri. Yaani ni kwamba baadhi yao wanapenda kufanya hii kazi hata usipowalipa mshahara! Yaani kazi anaipenda hata akiambiwa aifanye bila kupewa mshara atafanya, tena pengine vizuri zaidi ya yule anayelipwa mshara
 
So tutayamaliza wenyewe...
If TISS has a problem with me they have my number... Tutamaliza kiutu uzima... Wataniambia niondoe Uzi na nitaondoa... sio hizi ngonjera unazoleta hapa...

Siku njema..

Karibu Ibada ya Jumapili Kanisani, tumsifu Bwana na Mwokozi wetu Yesu Kristo
 
Mkuu shukran kwa ufafanuzi mzuri kabisa,imetoa mwangaza wa mtu kujitathmini ikiwa anakidhi kuwa mmoja wao.
 
Nilikuwa natamani sana kuwa Kipepeo ila baadae nikasitisha baada ya nikang'amua kuwa nina tatizo la kuzaliwa "Figo yangu moja haifanyi Kazi vizuri, na sijui nilikuaje"! Mungu ni mwema
 
Mimi nina wiki mbili toka boss mmoj ambaye ni kipepeo wa hadharani aniombe CV, ila aliomba niongezee makorokoro kibao ,niweke kitongoj nilichozaliwa,kijiji n.k na wazazi pia,nilimpatia ingawa sikujua halisi ni nini alilenga ,ingawa aliwahi kunihoji 2015 kuhusu kabila langu nilivyomwambia Mimi ni wa kisiwani ,akafurah na kuanza kunipa story nyingi za ndugu zangu mabosi wake.
 
Nilikuwa natamani sana kuwa Kipepeo ila baadae nikasitisha baada ya nikang'amua kuwa nina tatizo la kuzaliwa "Figo yangu moja haifanyi Kazi vizuri, na sijui nilikuaje"! Mungu ni mwema
Pole sana mkuu
 
Back
Top Bottom