Yiyu Sheping
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 1,720
- 841
Asante kwa kutufunda. Je kufundwa kuna umri?
Na washawasha!
Na washawasha!
Hili liko obviously sana kwa sababu haawa watu waanataka kila taaarifa
Hata tunavyosema hapa tayar tumetumika kutoa taarifa kwaa mahasimu wetu bila kujijua au tunajua lkn hamna namna lazima useme kama namna ya maisha
Huko mtaan tunasema tu kwa kila mtu mtaan juu ya jambo flan au rafiki ktk maisha kumbe anakutumia indirectly bila kujua
Hivyo tusiwe wepes kusema kila jambo pia kulalamika kutoka na eneo lako la kazi au shule or chuo kwa mtu yeyote bila kuzingatia ethically