baba bora
JF-Expert Member
- Dec 25, 2016
- 1,500
- 1,096
The bold Hakika we Ni geniusHahahah!! Ok, here we go...
Unauliza nimeandika kwa maslahi ya nani??
Jibu: kwa maslahi ya vijana wote wenye matamanio ya kuingia katika huu utumishi... Matamanio yao ya kuitumikia nchi yao ni matamanio memo na yanapaswa kuchochewa...
Umeuliza kwa nini nimeandika hisia zangu??
Jibu: Nafahamu kuhusu nilichokiandika hapa zaidi ya maneno haya unayoyaona nimeandika hapa... Ila kwa kuzingatia sheria za nchi na tamaduni za usiri wa idara hiyo siwezi kuandika kila kitu...
Hakuna ubaya wa kuandika utashi wako (unaweza kuita hisia ukipenda)
Unasema ni kosa hiki nilichoandika??
Jibu: sidhani kama unaijua hata sheria ya kuanzishwa kwa idara ya usalama wa Taifa... Nenda kaisoma ndipi utajua nini ni siri na nini si siri... Kipi kinapswa kuzungumzwa na kipi hakipaswi kuzungumzwa...
Unasema nina lengo gani??
Jibu: unarudia swali lile lile kila baada ya aya moja. Nimekujibu hapo juu...
Unauliza wapi nimeambiwa kuna haja ya kuwapa watu somo.
Jibu: sidhani kama unatambua haki na wajibu wa mwananchi wa Tanzania kwa mujibu wa katiba. Nenda kasome.
Niko tayari kuwajibika kama itajenga "myth" kwenye jamii?
Jibu: mimi ni muwajibikaji tangu siku ya kwanza natoka kwenye tumbo la mama yangu.
Na kama andiko hili lingekuwa na shida yeyote... Wahusika wenyewe wangenitaarifu mpaka muda huu... They know me... Na si Mara moja au mbili wameniambia nisiandike kuhusu kitu Fulani... So tutayamaliza wenyewe...
Mwisho..
Najua watu wa dizaini yako, najua unachojaribu ku-insinuate... Najua unataka watu wakuoneje, najua unataka watu wakuhisi wewe ni nani...
You are not.. Stop pretending.... Its pathetic!!
If TISS has a problem with me they have my number... Tutamaliza kiutu uzima... Wataniambia niondoe Uzi na nitaondoa... sio hizi ngonjera unazoleta hapa...
Siku njema..