Ndugu unachekesha wewe, Marekani ni strategist hatari mno, hakurupuki kutoa kichapo bila kujua uwezo wa adui wake na mikakati sambasamba.
Nenda Mashariki ya kati tayari anayo Saudia Arabia, Israel na Jordan na Misri wale jamas wanamjua vyema Iran hasa Israeli na Saudia.
Huyu mpuuzi aliyekufa wanaushahidi wa kutosha kuhusika kwake kulipua visima vya mafuta vya SaudiArabia, kushambuliwa kwa ubalozi wa marekani nchi Libya na Irak hivyo huyu Iran wanatafuta sababu ya kumadhibu tu.
Israeli amelalamika muda juu ya huyu jamaa kumshambulia na kufadhili vikundi hasim vya Israeli km hezbolaah chenye makao yake Lebanon. Iran kupigana na marekani katika live battle hana huo ubavu.
Sent using
Jamii Forums mobile app