Unafikiri kisasi cha Iran kitaelekezwa wapi?

Unafikiri kisasi cha Iran kitaelekezwa wapi?

Kwanini Iran asirushe kombora zikatua Marekani? Nchi za Middle East hazina umoja na kila moja anapigana kivyake. Hivi Iran anaweza kubeba wanajeshi wake akafikia Canada au Mexico? Ujue Marekani ni mbabe anaweza kuweka kambi hata Saudia Arabia na hakuna mtu wa kumzuia

Na kwanini US asirushe Kombora lolote lile kwenda Iran?
 
Iran wako vyema sana kidiplomasia na Propaganda

Wataipiga shambulio US kupitia Vikundi vya Uasi kama Hizbollah au IS na sio wenyewe direct kukwepa lawama za moja kwa moja

Na walivyo wabaya utashangaa watajielekeza kuhujumu shughuli za kiuchumi badala ya kuua watu kama walivyofanya kwa Saudia
Uchumi wao uko vulnerable kuliko wa wengine. Just mitambo ya kusafishia mafuta. Wanalijua hilo.
 
Na kwanini US asirushe Kombora lolote lile kwenda Iran?
Unaambiwa hivii, mchanga mkononi umeelekezwa kwa Ayatolah apute aone!

Trump keshavuka mstari uliochorwa.

(wahenga wamenielewa terminology)
 
Hicho ndio kaandika raisi Donald Trump leo asubuhi.
IMG_20200105_090646.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaambiwa hivii, mchanga mkononi umeelekezwa kwa Ayatolah apute aone!

Trump keshavuka mstari uliochorwa.

(wahenga wamenielewa terminology)

Wao walishamsubiri trump kitambo tu,tangu waishushe Drone kule Tehran trump akafyata mkia akaishia kupiga kelele kule twitter.
 
Mmeyata wenyewe tulieni hivyo hivyo, jamaa wajipange watawapa jibu mnalolitaka.
Anayefuatia kupasuliwa ni huyo Ayatollah ili akili iwakae sawa jaribu muone response ya USA.

Hamkujua akili ya Donald Trump aliposema "I want to make USA great nation again" marekani ili kasirishwa na OBAMA kukubaliana na Iran kwenye mam o za nuclear, ndiyo maana Trump katupilia mbali mkataba na kuwaonya Tehran wasijihusihe na chokochoko wakidhani wao wamesinzia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lazima utafutiwe sababu ili upigwe vizuri. Sababu kama hizi

1. Kawekewa vikwazo vya kiuchumi
2. General kauwawa tayari
Kama Iran atatumia busara na hekima. Inabidi akae kimya na ajifanye kama haoni kwasababu
1. Kuna nchi 3 nyuma ya Marekani ambapo ni Israel, Uingereza na Saudia Arabia
2. Iran yupo peke yaani hana msaada kutoka kwenye nchi yoyote yaani anapigana yeye kama yeye
3. Uchumi wa Iran unategemea mafuta zaidi kujiendesha sasa visima vikilipuliwa nchi itakuwa janga
Utasema Iran yupo na Russia na Sri Lanka hiyo haiwezekani kwasababu wale ni wanafiki na sasa hivi wanapigana kufa na kupona ili nao wawe vizuri kiuchumi ili waweze kushindana na Marekani. China amechukua bandari ya Sri Lanka kwa miaka 100 baada ya Sri Lanka kushindwa kulipa deni.
Na kwanini US asirushe Kombora lolote lile kwenda Iran?
 
Iran ameapa kulipiza kisasi kufatia kuuwawa kwa Qasam soleiman

Na kwakua hili jukwaa lina wataalamu wa Middle East

Kwa ubavu alionaa Iran ataelekea wapi ukizingatia marekani kaongeza pia majeshi

Me naona USA atapigiwa mbali kabisa asikokutegemea tena ubalozini

Whats your predictionView attachment 1312041View attachment 1312042View attachment 1312043View attachment 1312045View attachment 1312062
Leo asubuhi kajibu Kenya mkuu. Kashambulia kambi ya jeshi inayotumiwa na wanajeshi wa kenya na Marekani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wao walishamsubiri trump kitambo tu,tangu waishushe Drone kule Tehran trump akafyata mkia akaishia kupiga kelele kule twitter.
Alichokisema kina mashiko.
There was more than 100 people to be killed from "beautiful strike" (according to Trump himself)
 
Lazima utafutiwe sababu ili upigwe vizuri. Sababu kama hizi

1. Kawekewa vikwazo vya kiuchumi
2. General kauwawa tayari
Kama Iran atatumia busara na hekima. Inabidi akae kimya na ajifanye kama haoni kwasababu
1. Kuna nchi 3 nyuma ya Marekani ambapo ni Israel, Uingereza na Saudia Arabia
2. Iran yupo peke yaani hana msaada kutoka kwenye nchi yoyote yaani anapigana yeye kama yeye
3. Uchumi wa Iran unategemea mafuta zaidi kujiendesha sasa visima vikilipuliwa nchi itakuwa janga
Utasema Iran yupo na Russia na Sri Lanka hiyo haiwezekani kwasababu wale ni wanafiki na sasa hivi wanapigana kufa na kupona ili nao wawe vizuri kiuchumi ili waweze kushindana na Marekani. China amechukua bandari ya Sri Lanka kwa miaka 100 baada ya Sri Lanka kushindwa kulipa deni.
Naongezea THANKS.

Uchumi na utawala wa Ayatolah uko vulnerable
 
Lazima utafutiwe sababu ili upigwe vizuri. Sababu kama hizi

1. Kawekewa vikwazo vya kiuchumi
2. General kauwawa tayari
Kama Iran atatumia busara na hekima. Inabidi akae kimya na ajifanye kama haoni kwasababu
1. Kuna nchi 3 nyuma ya Marekani ambapo ni Israel, Uingereza na Saudia Arabia
2. Iran yupo peke yaani hana msaada kutoka kwenye nchi yoyote yaani anapigana yeye kama yeye
3. Uchumi wa Iran unategemea mafuta zaidi kujiendesha sasa visima vikilipuliwa nchi itakuwa janga
Utasema Iran yupo na Russia na Sri Lanka hiyo haiwezekani kwasababu wale ni wanafiki na sasa hivi wanapigana kufa na kupona ili nao wawe vizuri kiuchumi ili waweze kushindana na Marekani. China amechukua bandari ya Sri Lanka kwa miaka 100 baada ya Sri Lanka kushindwa kulipa deni.

Hahah duuh unawaongelea Saudi Arabia hawa wachovu wanaopigwa na waasi wa houthi mpk wanaomba poo.
 
Ha ha ha ha ha ha ha
1. Kipindi Osama Bin Laden anauwawa kuna wamerekani pia walilaani (Utawala wa Obama)
2. Kipindi Sadam Hussein ananyongwa Marekani kuna wamerekani pia walilaani hilo tukio (Utawala wa Bush)
3. Kipindi Ghadafi anauwawa kuna wamerakani pia walilaani.
Mafuta hayajawahi kuiacha nchi yoyote ile ya Middle East salama.
[emoji2][emoji2][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16]Kama huko US Kwenyewe Kuna Walo Laani Njia Alotumia Trumpet Kumuua Soleiman Ulitegemea Soleiman Atapendwa na Kila RAIA Pole Sanaaa...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
...katupilia mbali mkataba na kuwaonya Tehran wasijihusihe na chokochoko wakidhani wao wamesinzia...
Leo magazeti ya uk ( uingereza) yamenukuliwa yakisema UK SAS mwaka 2007 ilitaka kumondoa General Soleimen(R.I.P) lakini Miliband ( WAZIRI wa mambo ya nje wa kati huo) akakataa na kusema UK inataka kuongea na wairani na si kuwaua. Baadaye, inasemwa alipoojiwa Boris ( UK prime minister) juu ya shambulio la kumuua Shahidi Soleiman, amejibu na maji kwa neno moja " f*** " . UK haikutaarifiwa jambo hili.
Jiulize kwa nini habari ya 2007 ibuliwe leo na kwa nini Boris ajibu kwa hasira namna ile!

Kukumbusha tu US vita yote aliyopigana alijuwa na washirika akiwemo mjomba wake UK. Mara hii US uwenda akalinywa mwenyewe! Na kunauwezekano vita hii ikitokea (God forbid) itapiganwa mpaka kwenye ardhi yake. Sikutishi najaribu kuwaza tu!
Nayaeleza yote haya kukuonyesha kuwa vita yote aliyopigana US mara zote anahitaji msaada wa wenzake.
 
Hii ni kwa wenye akili kubwa tu ndiyo ataweza kuelewa. Vita ni pamoja na kutumia akili pamoja na mbinu ili uweze kushinda. Saudia Arabia ni nchi nzuri sana kuitumia kwenye vita na Iran kama haujui.

Saudia Arabia ina miji mikuu miwili ambayo waislamu wanaitumia kuabudu ambayo ni Makka na Madina. Mchezo unaweza kuwa hivi.

Marekani ataingia vitani akiwa na Saudia Arabia kuipiga Iran. Battle ikianza Marekani kwa siri sana ataipiga Makka na Madina kwa mabomu mpaka inakuwa majivu kwahiyo hapa itaoneka Iran ndiyo kapiga Makka na Madina. Waislamu wote duniani watapata hasira sana ya kupigwa miji yao kwahiyo wataanza kuichukia Iran. Marekani itawapa silaha wapiganaji wa kiislamu (hawa wanapenda sana vita). Wataingia kwenye vita. Marekani yeye atakuwa anatoa silaha tu kama kwa wapiganaji waliomuua Ghadafi.

Marekani, uingereza, Israel na Saudia Arabia watakuwa pembeni wanaangalia movie inavyokwenda.
Hahah duuh unawaongelea Saudi Arabia hawa wachovu wanaopigwa na waasi wa houthi mpk wanaomba poo.
 
Alichokisema kina mashiko.
There was more than 100 people to be killed from "beautiful strike" (according to Trump himself)

Uzuri Trump anajulikana kama mtaalamu wa mipasho na hajui chochote kuhusu mambo ya kijeshi.

Hivi COVFEFE maana yake nini?
 
Hii ni kwa wenye akili kubwa tu ndiyo ataweza kuelewa. Vita ni pamoja na kutumia akili pamoja na mbinu ili uweze kushinda. Saudia Arabia ni nchi nzuri sana kuitumia kwenye vita na Iran kama haujui.

Saudia Arabia ina miji mikuu miwili ambayo waislamu wanaitumia kuabudu ambayo ni Makka na Madina. Mchezo unaweza kuwa hivi.

Marekani ataingia vitani akiwa na Saudia Arabia kuipiga Iran. Battle ikianza Marekani kwa siri sana ataipiga Makka na Madina kwa mabomu mpaka inakuwa majivu kwahiyo hapa itaoneka Iran ndiyo kapiga Makka na Madina. Waislamu wote duniani watapata hasira sana ya kupigwa miji yao kwahiyo wataanza kuichukia Iran. Marekani itawapa silaha wapiganaji wa kiislamu (hawa wanapenda sana vita). Wataingia kwenye vita. Marekani yeye atakuwa anatoa silaha tu kama kwa wapiganaji waliomuua Ghadafi.

Marekani, uingereza, Israel na Saudia Arabia watakuwa pembeni wanaangalia movie inavyokwenda.
All options are on table
 
Hii ni kwa wenye akili kubwa tu ndiyo ataweza kuelewa. Vita ni pamoja na kutumia akili pamoja na mbinu ili uweze kushinda. Saudia Arabia ni nchi nzuri sana kuitumia kwenye vita na Iran kama haujui.

Saudia Arabia ina miji mikuu miwili ambayo waislamu wanaitumia kuabudu ambayo ni Makka na Madina. Mchezo unaweza kuwa hivi.

Marekani ataingia vitani akiwa na Saudia Arabia kuipiga Iran. Battle ikianza Marekani kwa siri sana ataipiga Makka na Madina kwa mabomu mpaka inakuwa majivu kwahiyo hapa itaoneka Iran ndiyo kapiga Makka na Madina. Waislamu wote duniani watapata hasira sana ya kupigwa miji yao kwahiyo wataanza kuichukia Iran. Marekani itawapa silaha wapiganaji wa kiislamu (hawa wanapenda sana vita). Wataingia kwenye vita. Marekani yeye atakuwa anatoa silaha tu kama kwa wapiganaji waliomuua Ghadafi.

Marekani, uingereza, Israel na Saudia Arabia watakuwa pembeni wanaangalia movie inavyokwenda.

Yes Saudi ni nzuri sana kwa sababu makombora yote ya Iran yataishia pale Saudi Arabia na kuiharibu ile nchi na kuweka hati hati ufalme wa ile familia huku Ardhi ya Marekani pakiwa salama.
 
Back
Top Bottom