Unafikiri kisasi cha Iran kitaelekezwa wapi?

Unafikiri kisasi cha Iran kitaelekezwa wapi?

Mkuu Iran hata jaribu kabisa kuifunga Hormu, akifanya hivyo Ulaya nzima itamgeuka.

hiyo njia ni muhimu sana, kufanya hivyo hata wasio maadui zake nao watajiunga na upande wa adui yake.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio maana maana tunasema kuigusa Iran inapelekea third world war Trump kwa ujinga wake anataka kuiingiza dunia kwenye vita kumbuka miezi ya karibuni huyo huyo Iran alifanya mazoezi Hormuz akiwa na Russia na China navy ukipitia makala ya Haaretz gazeti maarufu la Israel wanaona kilichofanyika ni poor strategy with bad outcome maana the wise man is gone now remaining the hard liner with spirit mbovu wasiojua negotiation.na pia hata Susan rice former us ambassadors un anaona pia poor move risk ni kubwa kuliko faida.
 
hapa naisevu picha na Ku subscriber thread..

maana mwarabu (Iran) walivyo jinga aweza kulipua Obama road ya bongo akidhani Obama anaishi hapo

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi wabongo mbona mnapenda kudandia mambo??

Alokwambia muirani ni muarabu nani??
Mnapenda mambo ya kudandia mkiambiwa mtulie msome hamtaki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Brexit ni ishara ya Umoja au nao ni Waislam?
Duh..! Mkuu na Bwana Utam unafananisha Brexit na fitina wanazofanyiana Waarabu? Brexit huoni ni mchakato unafanyika wa kushirikisha pande zote mbili? Na biashara zitaendelea tu baada ya Brexit

Utaifananisha na Saudia, UAE, Misri walichoifanyia Qatar, au bifu la Iran na Saudia? au wanavyopigana kule Yemen?
Yaani nchi hazina ubalozi wala raia hawaruhusiwi kutoka nchi hii kwenda ile, tena Saudua ukionekana unaitetea Qatar ni kifungo kikali au faini


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Iran has declared war in a very old and traditional way. First time in centuries that they have hoisted the red flag. For them this means revenge and war.

Watch: First Time In The History of Iran, Red Flag hoisted Over The Holy Dome Of Jamkarān Mosque,Iran.
This is one of the most significant Mosques of Iran

Red Flag: A Symbol Of Severe Battle/War To Come.

What is written on the flag is "Ya Lisaaraat-al-Hussain". which translates to "Vengeance for Hussain('s blood)"

Video below




RED ALERT Iran vows to hit 35 US targets and unfurls red flag of WAR as America says it expects retaliation ‘within weeks’

IRAN today pinpointed 35 “key US targets” for revenge after its top general was assassinated – with America expecting retaliation “within weeks”.

Hours later, rockets were fired near the US Embassy in Baghdad and at an airbase housing Ameri

The chilling flag display is seen as a clear warning the Islamic Republic is ready to fulfil its worrying pledge to strike back at America and Donald Trump.

Chillingly written across the “war flag” were the words: “Those who want to avenge the blood of Hussein”.

Red flags in Shiite tradition symbolise both blood spilled unjustly and serve as a call to avenge a person who is slain.

It was hoisted above the important Jamkaran Mosque which is on the outskirts of the holy city of Qom, about 100 miles south of Tehran
Source: Iran vows to hit 35 US targets as it unfurls red flag of WAR after America executed General Soleimani


10833534_endcxooxsaardev_jpeg6e0093e1cfd8e43d16dd65e596990904


10833777_nintchdbpict0005515693441_jpegaef6353e9e3b33eda64c2e4267e0ce0b


10833778_nintchdbpict000551569343_jpeg490905963327ec9b0a9a93fe55180f99
 
Ndio maana maana tunasema kuigusa Iran inapelekea third world war Trump kwa ujinga wake anataka kuiingiza dunia kwenye vita kumbuka miezi ya karibuni huyo huyo Iran alifanya mazoezi Hormuz akiwa na Russia na China navy ukipitia makala ya Haaretz gazeti maarufu la Israel wanaona kilichofanyika ni poor strategy with bad outcome maana the wise man is gone now remaining the hard liner with spirit mbovu wasiojua negotiation.na pia hata Susan rice former us ambassadors un anaona pia poor move risk ni kubwa kuliko faida.
Haaretz hakuna siku inapita siwasomi. Iran ni kichaa vile akiona atapigwa sio kama Wairak waliokimbia vita, majenerali wa Iran watakomaa viwanjani watie dunia hasara. Mbona U.S alikomaliwa Vietnam akapata maisha magumu. Unajua kuisaidia Irak ya Saddam ilikuwa uongo maana majeshi yake yalimuogopa lakini hayakumueshimu na yalikimbia mapambano. Lakini Iran hawaendi kokote hawa, hivo kama ni msaada wa kiintelijensia na kuuziwa silaha wakipata tu wanatumia effectively, kumbuka hauitajiki kumshinda Marekani vitani we cha msingi mtie hasara, ua majeshi vya kutosha. Fanya maisha ya vikosi vyake viwe na hofu hiyo inapelekea nyumbani kampeni za kuacha vita zianze. Tena ukimpa na mashambulizi ya kigaidi si ndo mambo yanamuwia magumu.
 
Iran ameapa kulipiza kisasi kufautia kuuwa kwa Qasam soleiman

Na kwakua hili jukwaa lina wataalamu wa Middle east

Kwa ubavu alionaa Iran ataelekea wapi ukizingatia marekani kaongeza pia majeshi

Me naona USA atapigiwa mbali kabisa asikokutegemea tena ubalozini

Whats your predictionView attachment 1312041View attachment 1312042View attachment 1312043View attachment 1312045View attachment 1312062
if they got balls why they dont just go shoot them in their soil? instead of looking around and hitting some small target with few and less important people who doesn't even mean nothing to the US.I mean US killed their very important man and they know it to me iran their just pussies with no balls to take what it takes.

Thats why they dont go after the US face to face like the US did to them.They got all world terrified after showing those bombs and protection system but still they got punched right in their clit, From the first time i was thinking because they got best guns, bombs and all their killing machine if the US even say one more stupid thing they wouldve *** the US to its ashes but now all i see they just scared little pigs looking around for small target while they got big piece of map showing the whole USA. The question remains if they got bombs why do their look around instead of going directly for the US?
 
Na so far NATO haijaonyesha kumuunga mkono kijeshi US,hapo ndio US atafyata mkia kabisaa yaani hawezi kwenda vitani hata kwa dawa.
Haaretz hakuna siku inapita siwasomi. Iran ni kichaa vile akiona atapigwa sio kama Wairak waliokimbia vita, majenerali wa Iran watakomaa viwanjani watie dunia hasara. Mbona U.S alikomaliwa Vietnam akapata maisha magumu. Unajua kuisaidia Irak ya Saddam ilikuwa uongo maana majeshi yake yalimuogopa lakini hayakumueshimu na yalikimbia mapambano. Lakini Iran hawaendi kokote hawa, hivo kama ni msaada wa kiintelijensia na kuuziwa silaha wakipata tu wanatumia effectively, kumbuka hauitajiki kumshinda Marekani vitani we cha msingi mtie hasara, ua majeshi vya kutosha. Fanya maisha ya vikosi vyake viwe na hofu hiyo inapelekea nyumbani kampeni za kuacha vita zianze. Tena ukimpa na mashambulizi ya kigaidi si ndo mambo yanamuwia magumu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Iran imepokeleaje hatua hiyo?

Katika taarifa kufuatia kifo cha Soleimani, kiongozi mkuu wa kidini Ayatollah Ali Khamenei alisema: "Kuelekea kwake kwa Mungu sio mwisho wa mpango wake, kisasi kikali kinawasubiri wahalifu walimwaga damu yake na ya shujaa mwingine Ijuma asubuhi."

Huku watu wanataka waangalie vita tayari Ayatollah kajitabilia kifo mapema. Inaonesha hajiamini kabisa
Hawata sahau itakuwa zaidi ya Sept11

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanini Iran asirushe kombora zikatua Marekani? Nchi za Middle East hazina umoja na kila moja anapigana kivyake. Hivi Iran anaweza kubeba wanajeshi wake akafikia Canada au Mexico? Ujue Marekani ni mbabe anaweza kuweka kambi hata Saudia Arabia na hakuna mtu wa kumzuia
Iran wako vyema sana kidiplomasia na Propaganda

Wataipiga shambulio US kupitia Vikundi vya Uasi kama Hizbollah au IS na sio wenyewe direct kukwepa lawama za moja kwa moja

Na walivyo wabaya utashangaa watajielekeza kuhujumu shughuli za kiuchumi badala ya kuua watu kama walivyofanya kwa Saudia
 
[emoji2][emoji2][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16]
Baadhi ya raia wa Iran walisherehekea taarifa za kuuawa kwa Soleimani mjini Baghdad.
Alilaumiwa kwa kupanga ghasia na kuunja maandamno ya amani ya kupigania demokrasia katika miezi ya hivi karibuni.
Kama huko US Kwenyewe Kuna Walo Laani Njia Alotumia Trumpet Kumuua Soleiman Ulitegemea Soleiman Atapendwa na Kila RAIA Pole Sanaaa...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji22][emoji22][emoji22]

Hatushabikiii damu kumwagika

Ila kwa hali ilivyo Middle East Damu kule ni lazima imwagike

Sasa kuna watu huwa ni wachambuzi wazuri sana, mara ballistic missile mara Russia mara Nuclear

Sasa tunataka watumbie upepo unaelekea wapi

Ndo tutatujua zile Story watu huwa wanamaanisha au ni ushabiki tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa anajitambia sana

The United States just spent Two Trillion Dollars on Military Equipment. We are the biggest and by far the BEST in the World! If Iran attacks an American Base, or any American, we will be sending some of that brand new beautiful equipment their way...and without hesitation!
 
Back
Top Bottom