McMahoon
JF-Expert Member
- Dec 22, 2017
- 1,360
- 1,645
Hapo ndiyo Iran atawajua waislamu wakoje kwenye uwanja wa vita yaani hapa mpaka Faiza Foxy atabeba silaha kwenda kupigana vita Iran. Marekani, Saudia Arabia, Israel na Uingereza watakuwa wanatoa silaha, madawa na chakula. All options are on the table
Yes Saudi ni nzuri sana kwa sababu makombora yote ya Iran yataishia pale Saudi Arabia na kuiharibu ile nchi na kuweka hati hati ufalme wa ile familia huku Ardhi ya Marekani pakiwa salama.