Unafanyaje unapotukanwa na mlevi?

Unafanyaje unapotukanwa na mlevi?

Nafuta na kukemea maneno mabaya aliyoyatamka Kwa kusali kimya kimya
Kuna roho zinayavaa hayo maneno
 
Hivi wewe unajisikiaje unapotukanwa Matusi ya Nguoni na Mlevi anaekunywa Pombe mpaka anajinyea? How do you feel?

Yaani mlevi anaekunywa pombe mpaka anashindwa kujizuia haja kubwa anaanza kukutukana unajisikiaje?

Samahani kwa wale wanaokunywa kistaarabu, namaanisha sizungumzii wewe unaekunywa bia 3/4 na kwenda kulala, hapa namzungumzia yule ambae analala na makreti ya bia yeye chai yake ni pombe mlo wa mchana pombe chakula cha usiku pombe na anakunywa mpaka Visungura sijuo Kick nini na upuuzi mwingine.
Me ntacheka tu na kuenda zangu. maana nnauhakika na me nitakua nimelewa, ya nini marumbano?
 
Mchukue siku moja kamleweshe kuwa naye rafiki,mnunulie tena Mara pili ila asikuzoee sana.akiwa Tu rafiki yako akijua Una mthamini Kwenye pombe hatakutukana tena..km unampenda na unamuonea huruma
 
Mchukue siku moja kamleweshe kuwa naye rafiki,mnunulie tena Mara pili ila asikuzoee sana.akiwa Tu rafiki yako akijua Una mthamini Kwenye pombe hatakutukana tena..km unampenda na unamuonea huruma
Ana hela mkuu pombe anazinunua mwenyewe anakunywa mpaka anakunya yaan anajinyea kabisa hela zake pombe zake
 
Sasa mlevi unahangaika nae wa nini? Akikupa mitusi nae mchane tu kwa mitusi ngoma droo.
 
Hivi wewe unajisikiaje unapotukanwa Matusi ya Nguoni na Mlevi anaekunywa Pombe mpaka anajinyea? How do you feel?

Yaani mlevi anaekunywa pombe mpaka anashindwa kujizuia haja kubwa anaanza kukutukana unajisikiaje?

Samahani kwa wale wanaokunywa kistaarabu, namaanisha sizungumzii wewe unaekunywa bia 3/4 na kwenda kulala, hapa namzungumzia yule ambae analala na makreti ya bia yeye chai yake ni pombe mlo wa mchana pombe chakula cha usiku pombe na anakunywa mpaka Visungura sijuo Kick nini na upuuzi mwingine.
Ukiwa unaoga kichaa akapita na nguo zako humkimbizi. Unatafuta namna ya kujisitiri. Ukimkimbiza wakati yeye amevaa nguo na wewe uko uchi watu watajua wewe ndiye umechanganyikiwa. Na kama wote hamna nguo watu watagawanyika makundi mawili. 1. Watajua ni vichaa wawili wanakimbizana. 2 watajua wewe ni kichaa ambaye umemvamia mwenzako akiwa anaoga hivyo anakimbia kujiokoa usije ukamdhuru. Yaani vyovyote itakavyokuwa wewe bado utaonekana ni kichaa tu.
 
Sasa si wote mtakuwa walevi na wajinga tena wewe mzima ndio utaonekana mpuuzi zaidi.
Sasa mtu usiyeweza kumpiga unamalizaje hasira zako. Mimi nikikupa mtusi mmoja ni sawa na nimekupiga ngumi ya pua. Hakuna mtu amewahi kufa kwa kutukanwa.
 
mlevi dawa yake unapiga makelebu ya kutosha mpaka fahamu zimrudie
 
Back
Top Bottom