Red black
JF-Expert Member
- Nov 29, 2019
- 12,061
- 37,428
Mchape viboko vya kutosha huku ukiwa umemwagia maji baridiHafai hata kupigwa mkuu, tunamfanye?
Mchape viboko vya kutosha huku ukiwa umemwagia maji baridiHafai hata kupigwa mkuu, tunamfanye?
Basi uwe unamnunulia maji ya kunywa na Pipi kifua ili apoze koo,apate kutukana vizuri zaidi na kwa sauti inayo eleweka.Mkuu mtu mwenyewe hafai hata kupigwa, ungemuona hata usingesema hivyo yaan
Ni bro ako basi mkaushie.Umeuliza swali la ndani mkuu, ila niambie kwanza mtu km huyu unamfanyaje?
Fanya msikutane. Ndiyo maana nikauliza mnakutana wapi hiyo kila siku?Umeuliza swali la ndani mkuu, ila niambie kwanza mtu km huyu unamfanyaje?
Achana naeHafai hata kupigwa mkuu, tunamfanye?
Sasa ni nani huyo?Hapana sio hivyo wala sio
Usiwaze we mkaushie halafu usichukulie personal sanaInauma sana mkuu
Hela za kulewa kila siku anazipata wapi? Kateni chanzo kinachompatia hizo hela.Hapo nakua sijafanya kitu
Siku nyingine akilewa,nendeni mkamlaze makaburini,akiamka asubuhi akajikuta huko,hatorudia tena kulewa kupita kiasi,Hela anazo mpaka zinamwagika, huwezi kukata maana zinakuja tu haziishi
Mkuu sio mtu wa kufanywa hivyo, ila nashukuru kwa ushauri wakoSiku nyingine akilewa,nendeni mkamlaze makaburini,akiamka asubuhi akajikuta huko,hatorudia tena kulewa kupita kiasi,
Akirudia tena kulewa,fanyeni mpango mkamlaze mochwari mpaka pombe zimtoke,akijikuta huko,hatolewa tena.