BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,772
- 23,162
Nipitie basi
naja. . . . . .
Nipitie basi
mie naenda sokoni
Daslaam!
Yaani nikimaliza sharubu, then kuuzunguka Mnara!
Ushan'fahamu?
Hapo utakua unakaba penati !
Na beki3 afanye job gani ?
Kuliwa ganji nw dayz hakukwepeki !
Ukikwepa huku utaliwa kule!
niwhakufahamu,
usisahau kupaka aftershave au poda au spirit kuzuia vipele.....
By the way wifi anafanya nini? Ilipaswa akunyoe..............
Niko job
Nipitie basi
charmingladyhv mcpomtaja charminglady cku yenu huwa mbayaaa eeh?
Madame B umenipa raha leo eti au unamuogopa ...ila kuna wababa wengine bandidu hata alieje halikusaidii tena anasema ebu mnyamazishe huyo mtoto mimi najaribu kulala hapa
bado nipo kitandani na leo sabasaba wacha nilale mpaka saa tano ndio mambo mengine yatafuataa
me ndo nimeamka, nataka ntoke zangu,mning'inio umeisha. unafanya nin wewe?
Dah safi sana kama uko salamaNimeanza na moustach then round about Mnarani .
Nimeamka poa.