Hahahaaa muuza ndizi? Hahahaaa Bishanga leo yuko soko la Kimara stop ova
HahahahahaaaaaMmh! yule sasa hivi biashara yake imezungukwa na vitoto anavirubuni atavipeleka sabasaba.huyu si wa kutafutwa leo kalala huku kesho kaamkia kule wazani mvua vile
nani ?
Sema tukusaidie!
Utaratibu ni una'submit curriculum vitae!
Swali la kwanza unao uzoefu na kibarua unachojaribu kuomba ?
Au unataka ujifunzie kazini ?
kuna kazi nyingine uzoefu unakuja automatically
Kwa mfano......
Utaratibu ni una'submit curriculum vitae!
Swali la kwanza unao uzoefu na kibarua unachojaribu kuomba ?
Au unataka ujifunzie kazini ?
...Kumchezea Simba Sharubu...
Kwa mfano......
kutafuna bamia na viazi mbatata
ninao uzoefu ndio na hapa naandaa CV
kutafuna bamia na viazi mbatata
Andaa!
Bt refar theory na physical hua ni miamala tofauti !
Usijejidanganya u'mahiri wa darasani thn field uka'boil !
Asante
...Kumchezea Simba Sharubu...