Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 46,979
- 38,372
- Thread starter
- #81
ndio nani na wawapi huyo uliemtaja...Acha unafki wewe chawa huyo mama hapendwi hata januari makamba alithibitisha kwamba hatumpendi wewe kidamoa mbangaizaji unayejifanya mh. Mbunge wa jf eti watanzania wengi wanampenda bi chura. Labda anapendwa tanzania zanzibar
Mapendo ya waTanzania mamilioni kwa mamilioni ya wanainchi hayapimiki na wala hayazuiliki kwa Dr Samia Suluhu Hassan 🐒