ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 82,809
- 88,972
Ana hekima, sio lopolopo, hafanyi maamuzi ya kukurupuka na mwisho anawaletea maendeleo Kila sekta ikiwemo kuwasikiliza Changamoto zao.
unaelewa kuna mambo ukiskia hata kama ulikua umekata tamaa unapata faraja na nguvu mpya, Ari na bidii ya kitofauti kukamilisha ndoto zako za maisha,WATETEZI WA SAMIA WAMECHOKA SANA
kipimo kikubwa cha upendo wa waTanzania kwa Dr.Samia Suluhu Hassan ni kukubalika kwake katika kila pembe ya nchi, kitaifa na kimataifa 🐒Kipimo cha upendo ni upi?
Amefanya kipi cha ajabu kwenye hii inchi?
nadhani wewe unawazungumzia wachache, kundi la wana matusi hodari walojificha nyuma ya keyboard, right?🐒Atii nini wanampendaa Samia ,nikupe habari ,ni kikundi flani cha watu kimejifungi ndani wanazungumza mtaani na kuamisha watuu kwamba anapendwaa,na kikundi hicho kimejaa njaaaaaaaaaa tuuu hamna cha maana
Kwasababu ya Uchawa kama Chawa...ni kwasababu ya makusudi, haja na nia yake thabiti, ya wazi na njema ya kutaka kuibadili Tanzania kiuchumi, kijamii na kusiasa?
?
Achana nao wanakudanganya.ni wananchi gentleman mbona iko clear tu,
ni wengi sana hawahesabiki, ni nchi nzima, vijana, wazee kina mama na makundi mbalimbali. Ni wengi sana mkuu 🐒
positive na negative impacts ni opportunity kwa visionary and revolutionary young professionals leaders 🐒Sema nyie jamaa mna impact sana.
Ndio hivyo ni negative impact kwa jamii.
sasa si mtauwa makamanda wengi sana aise maana wengi wao hivi sasa ni miongoni mwa waTanzania wanaomkubali sana Dr.Samia Suluhu Hassan , na haitakubalika hata moja auawe 🐒😳 hii nchi hiii inahitaji wanafki wauwawe ndio tutasonga mbele.
hapana,,nmefurahi nmekula ugal nkashiba ndiiumefurahika sanae kukubalika kwa Dr Samia Suluhu Hassan nchi nzima 🐒
Kweli kiongoziumefurahika sana gentleman,
hiyo ndio hali halisi nchi nzima 🐒