si hivyo tu,Njaa shida sana bongo!
Mpaka inapoteza ufahamu?!
huenda ni miongoni mwa waTanzania wanaojitenga kiaina...Kwahiyo Mimi siyo Mtanzania eti?
kwamba unawabeza waTanzania wanaompenda Dr. Samia Suluhu Hassan?šNyuzi nyingine ni za kipuuzi sana
afadhalli utumie haki yako ya msingi na wenzako wachache bila mihemko namna hiyoššŖ šSimkubali
Ni kwasababu ya makusudi, haja na nia yake thabiti, ya wazi na njema ya kutaka kuibadili tanzania kiuchumi, kijamii na kusiasa?
Au ni kwasababu ya umadhubuti wa sera, mipango, mikakati, jitihada, bidii na umahiri wake katika kutekeleza kwa weledi sana na kwa ufasisi mkubwa mno miradi mtambuka ya maendeleo inayogusa mojakwamoja maisha ya watanzania kama vile maji, afya, elimu, kilimo, viwanda, uvuvi, miundombinu, usafirishaji N.K?
Au ni kwasababu ya amani liliyopo, ulinzi, usalama, uhuru, haki, utulivu, usawa, uwazi na uwajibikaji wake katika kuongoza nchi kwa misingi ya utawala wa sheria na kwa kuzingatia katiba ya nchi?
Au ni kwasababu ya matumani makubwa waliyo nayo Watanzania kwake, kwamba ndie pekee kiongozi wa kisiasa nchini, anae weza kutimiza ndoto na matarajio yao, ya maisha bora?
Kwa maoni yako, unadhani ni kwanini Samia Suluhu Hassan, anapendwa na kuaminika kiasi hiki, kitaifa na kimataifa?
Nimebubujikwa na machozi ya furaha kwa kweli.Rais Samia anapendwa na kukubalika na mamillioni ya watanzania kwa sababu amekidhi matarajio ya watanzania na kukata kiu waliyokuwa nayo juu ya aina ya kiongozi waliyekuwa wanamuhitaji.
Kwa ufupi Mama yetu mpendwa na kipenzi cha watanzania ni jibu na jawabu kwa mahitaji ya watanzania.
ni mTanzania kiongozi muadilifu wa wananchi, mchapakazi hodari asie choka wala kukata Tamaa. Ni mnyonge flani hivi asie stahili chochote mbele za yoyote...Unaweza kukuta mwenye kuleta hii mada ni kijana wa miaka 18 ambae hajui lolote kabisa katika hii dunia.Angeangalia wenzie wanavyosoma Finance Bill na kuishinikiza Serikali ifanye maamuzi sahihi angeweza kujifunza jambo.
Ni kwasababu ya makusudi, haja na nia yake thabiti, ya wazi na njema ya kutaka kuibadili tanzania kiuchumi, kijamii na kusiasa?
Au ni kwasababu ya umadhubuti wa sera, mipango, mikakati, jitihada, bidii na umahiri wake katika kutekeleza kwa weledi sana na kwa ufasisi mkubwa mno miradi mtambuka ya maendeleo inayogusa mojakwamoja maisha ya watanzania kama vile maji, afya, elimu, kilimo, viwanda, uvuvi, miundombinu, usafirishaji N.K?
Au ni kwasababu ya amani liliyopo, ulinzi, usalama, uhuru, haki, utulivu, usawa, uwazi na uwajibikaji wake katika kuongoza nchi kwa misingi ya utawala wa sheria na kwa kuzingatia katiba ya nchi?
Au ni kwasababu ya matumani makubwa waliyo nayo Watanzania kwake, kwamba ndie pekee kiongozi wa kisiasa nchini, anae weza kutimiza ndoto na matarajio yao, ya maisha bora?
Kwa maoni yako, unadhani ni kwanini Samia Suluhu Hassan, anapendwa na kuaminika kiasi hiki, kitaifa na kimataifa?
Ni watu wenye mtindio wa ubongo Kama wewe pekee ndiyo wanaweza kumkubali rais taka taka kama huyu.Ni kwasababu ya makusudi, haja na nia yake thabiti, ya wazi na njema ya kutaka kuibadili tanzania kiuchumi, kijamii na kusiasa?
Au ni kwasababu ya umadhubuti wa sera, mipango, mikakati, jitihada, bidii na umahiri wake katika kutekeleza kwa weledi sana na kwa ufasisi mkubwa mno miradi mtambuka ya maendeleo inayogusa mojakwamoja maisha ya watanzania kama vile maji, afya, elimu, kilimo, viwanda, uvuvi, miundombinu, usafirishaji N.K?
Au ni kwasababu ya amani liliyopo, ulinzi, usalama, uhuru, haki, utulivu, usawa, uwazi na uwajibikaji wake katika kuongoza nchi kwa misingi ya utawala wa sheria na kwa kuzingatia katiba ya nchi?
Au ni kwasababu ya matumani makubwa waliyo nayo Watanzania kwake, kwamba ndie pekee kiongozi wa kisiasa nchini, anae weza kutimiza ndoto na matarajio yao, ya maisha bora?
Kwa maoni yako, unadhani ni kwanini Samia Suluhu Hassan, anapendwa na kuaminika kiasi hiki, kitaifa na kimataifa?
Unajidanganya na comments za kwenye Whatsapp groups!! Kule wanafanya unafiki Ili wasisumbuliwe.mapendo ya waTanzania kwa Dr Samia Suluhu Hassan yanaongezeka zaidi, na hili liko wazi gentleman š
au nasema urongo ndrugu zango š¤£
kwan huo mtandao bado upo unatumika kumbeUnajidanganya na comments za kwenye Whatsapp groups!! Kule wanafanya unafiki Ili wasisumbuliwe.
Siku ukijua kinachozungumzwa in-box utalia na kusaga meno!

unawabeza waTanzania kwa dhihaka namna hiyo gebtleman, kisa tu wanampenda Dr.Samia Suluhu Hassan?We
Ni watu wenye mtindio wa ubongo Kama wewe pekee ndiyo wanaweza kumkubali rais taka taka kama huyu.
