Unadhani kwanini Watanzania wengi wanamkubali Rais Samia?

Unadhani kwanini Watanzania wengi wanamkubali Rais Samia?

1719122442919.jpg
 
Yani nikionaga hizi nyuzi naamini kuzimu kupo na wanapenda uko ni hamnazo kama alieleta upumbavu huu
 
Rais Samia anapendwa na kukubalika na mamillioni ya watanzania kwa sababu amekidhi matarajio ya watanzania na kukata kiu waliyokuwa nayo juu ya aina ya kiongozi waliyekuwa wanamuhitaji. Kwa ufupi Mama yetu mpendwa na kipenzi cha watanzania ni jibu na jawabu kwa mahitaji ya watanzania.
Ona hili lichawa nalo
 
Samia amebakiwa na miezi michache sana kabla ya kufurushwa, tafuta namna ya kujikimu, angalia Musiba anavyoteseka baada ya Jiwe kufa kizembe
kwamba ati mihemko ina faida au kwamba itatize Dr Samia Suluhu Hassan kuikalia ikulu kwa ngwe ya pili ijayo?🐒

waTanzania wameshaamua mapema sana na kushow love kwa Dr Samia Suluhu Hassan, sa itakuaje 🐒
 
ni kwasababu ya makusudi, haja na nia yake thabiti, ya wazi na njema ya kutaka kuibadili Tanzania kiuchumi, kijamii na kusiasa?

au,
ni kwasababu ya umadhubuti wa sera, mipango, mikakati, jitihada, bidii na umahiri wake katika kutekeleza kwa weledi sana na kwa ufasisi mkubwa mno miradi mtambuka ya maendeleo inayogusa mojakwamoja maisha ya waTanzania kama vile maji, afya, elimu, kilimo, viwanda, uvuvi, miundombinu, usafirishaji n.k?

au
ni kwasababu ya amani liliyopo, ulinzi, usalama, uhuru, haki, utulivu, usawa, uwazi na uwajibikaji wake katika kuongoza nchi kwa misingi ya utawala wa sheria na kwa kuzingatia katiba ya nchi?

au ni kwasababu ya matumani makubwa waliyo nayo waTanzania kwake, kwamba ndie pekee kiongozi wa kisiasa nchini, anae weza kutimiza ndoto na matarajio yao, ya maisha bora?

kwa maoni yako,
unadhani ni kwanini Dr. Samia Suluhu Hassana, rais, anapendwa na kuaminika kiasi hiki, kitaifa na kimataifa?
Tunampenda sababu ya juisi na madafu ya ikulu
CDM5.jpg
 
Back
Top Bottom